Msimamo wangu

Kazi ipo kwa kweli


Sent from my iDevice using Tapatalk
 
Yaani umecopy na kupaste kabisa halafu unasema ndio msimamo wako?? kweli JF haiishi vituko

Sent from my iDevice using Tapatalk
 
Nilipokuwaga mdogo nilimwambia baba aninunulie ndege, nilichokuwa namaanisha tofauti na kilichokuja.
Nikaenda kumsemea kwa mama, napo akanambia niteme mate kiganjani kwake, akamchape, cha kushangaza akapiga kochi, ila nayo nafsi yangu ikaridhika, ni maajabu kwa kweli.

sio lazima sa hivi utanielewa hata badae tuu, we endelea kumsubiria huyo mshkaji
 

Ahsante. Sina maswali ya nyongeza ndugu mheshimiwa.
 
Hupati mwaume kama kweli uliyoandika yako kwenye matendo ninakuonea Huruma watakutumia utachakaa
 
Ukionda mwanamke ana masharti mengi kiasi hiki ujue nimbaya wa sura mpaka umbo na pia amelelewa kwenye familia duni mno.

Hahahaaa. Uzuri maamuzi ya maisha au misimamo ni ya mtu binafsi, haina uhusiano na sura wala mazingira uliyonayo, inategemea sababu gani zimepelekea afikie hayo maamuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…