Msimamo wangu

Haswaaaaaa kama ulikuwepo, yaani ndio hivyo hivyo.

Mume Wa aina hio hakuna labda umuumbe mwenyeo....WaPo wanaoweza kukubali masharti yako kabla ya kuoana ila mukiwa kwenye ndoa hayo masharti yako anayatengua yote....wanawake wengi hawapendi ndugu wala wazee Wa mume... Mna roho mbaya
 
Mume Wa aina hio hakuna labda umuumbe mwenyeo....WaPo wanaoweza kukubali masharti yako kabla ya kuoana ila mukiwa kwenye ndoa hayo masharti yako anayatengua yote....wanawake wengi hawapendi ndugu wala wazee Wa mume... Mna roho mbaya

Mungu atanipa wa kufanana na mimi, acha kukariri wewe, tungekuwa na roho mbaya ungebanwa hata usiijue dunia, so tulia tu.
 
Go to hell mwanamke ka ww!! tafuta mwanamke mwenzio akuoe,, yan mdgu zang wakae mbali na mali zangu it means hata mama angu aliyentunza tumbon miez9,akanizaa,akanilea mpaka nimekua na kujitegemea,,,, kirah rahis tu et ooooh wakae mbali na mali zetu!!! fyuuuuuuuuh.
 


Uzuri ni kwamba wanajidanganya kuwa wana msimamo/formula ya wishful thinking ila umri ukiwakimbia na kujikuta wako pweke na kuanza kugawa papuchi zilizojaa mvi kwa muhogo wa kuchoma na kachumbari au kutembea na waume wa marafiki zao. Mademu wa namna hii wanachezewa sana hapa mjini.....na huyu anaonekana jinsi alivyo na hasira kuwa kavuliwa sana chupi na ninahisi hata kisamvu cha kopo kishapakuliwa tena kwa hasara na ndiyo maana anaongea kwa hasira sana.
 
Hahahaaaaaa!! Long live jf.
 


Hahahaaaaaaaaa...duh! Ninacheka ka chizi!!
 

Kwahiyo wewe ulivyo ongea kwa hasira hapa ni kwamba ushapakuliwa jisamvu cha kopo aiseee, pole sana.
 
Basi tu vile watu walivyokuwa emotional kwa uzi wako. Nimechaka mno..

Yaani hii mada ilinichekesha hatari siku nilipoipost, yaani hizo comments nacheka mpaka watu wananishangaa!!
 

Asante mamy....
Yaan hivyo hivyo hamna kulegeza.
Say no kumwonea mwanaume huruma....
 
Hahahaaa anafurahia maana vigezo vyako hakuweza kuvifikia hahahaaa

Akajitia kunimwaga huku bado ananitamani, we Eli79 njoo utoe sababu ya kunimwaga.
 
Last edited by a moderator:
Akajitia kunimwaga huku bado ananitamani, we Eli79 njoo utoe sababu ya kunimwaga.

Namsubiriii....alizani wew utachumia juani na wakati ni jukumu lake wew ule uvae upendeze
 
Last edited by a moderator:
Umesahau ongezea na kuwa hutaki kuliwa p gheto kabla hujaolewa ili mapovu yawatoke vizuri hahahaaa

Hahahaaaaaa!! Vivulana vichungu kwenye pesa, mxiiiiuuuu zao.

Namsubiriii....alizani wew utachumia juani na wakati ni jukumu lake wew ule uvae upendeze

Si ndio hapo sasa, anadhani vyote hivyo nitavifanyaje bila yeye kunipa pesa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…