Msimamo wangu

[JFMP3][/JFMP3]
Hahaha..hebu tutoke nje ya mada kidogo..,mim sielew hivi ni wapenz au??mbona anamchora ezden mwee..had whatsap kamueka profile pic

mbuta nanga amemdondokea hb ezden but sidhan kama ezden atarudia kosa.
 
Wengine walikuwa Ba masharti arobaini na nne lakini walipofika 36 years old bila huyo mume sasa hawana sharti hata moja and still singali and searching..

ngoja ugonge 32 kwenda mbele afu upo single uone kama utakuwa na guts za kutaja hata sharti moja.
 
mbonA nimeoteshwA kua hautaolewa
 
Japo una point ya msingi lakini nyuma ya ulichoandika unaongozwa sana na UBINAFSI... na hapa ndiko mlikofanikiwa sana kujiharibu kwa fikra za namna hii.

Mwanaume ni kichwa cha nyumba na kila kitu.. hio ndio msingi wake.. mnapooana mnakua mmoja katika wawili na kila mmoja anakuwa sehemu ya mwenzake.... lakini mamlaka yapo kwa mume maana hilo andiko ulilorefer juu yake mwanamke anaambiwa na Mungu.."kwa kumtii nyoka(shetani) atazaa kwa utungo na uchungu utazidishwa.... TAMAA YAKE ITAKUA JUU YA MUMEWE NA MWANAUME ATAMTAWALA" kama unakubaliana na mwanaume kula kwa jasho bali ukubaliane pia na kutawaliwa (kumbuka kutawaliwa ni tofauti na kuongozwa"

Pili mke unatoka asubuhi unarudi usiku kila siku ya kazi... mume na watoto wanatunzwa na mfanyakazi wa ndani... halafu hela yako haionekani inachofanyia,,, nishwishi kwa nini usikae nyumbani???? hujaolewa uje uzae watoto na kuwatelekeza hapo kwa dada wa kazi then upate podium ya kwenda kusaka hela... NDOA NI TAASISI RASMI INA KANUNI NA SHERIA ZAKE... KAMA HAUKO TAYARI KUISHI KWAZO... BORA UBAKIE TU HUKO NJE KULIKO KUINGIA HUKU UKIONGOZWA NA UBINAFSI WA HALI YA JUU KIASI HIKO.

Maandiko yanasema ktk kitabu cha Petro... siku za mwisho watu watakua wenye kupenda pesa, wenye kujipenda wenyewe(wabinfsi)........."

Kinachonisumbua kwenye ulichoandika sio wewe kumiliki na kutawala vyako... lakini nyumba ya hio roho kuna nini (the push behind your thinking) ambapo wengi wakisoma hapa bila kutafakari iko wataishia tu kutoa povu.

ALL THE BEST THEN

 

pole dada.hao wanaume unaowapata hawajuwi mahaba.ukikutana na chizi kama mimi utatowa hizo pesa kwa moyo wako kurizia.unapewa mahaba mazito hadi akili inakuruka huo msimamo wako hadi unapotea
 
utanisindikiza kwa Bluetooth au kwa wasapu? usilete masihara ujue hapa nilipo na chooni ni hatua..

hahaaa!! basi ule ushauri nahidi ulifaa zaidi, tehee
 
pole dada.hao wanaume unaowapata hawajuwi mahaba.ukikutana na chizi kama mimi utatowa hizo pesa kwa moyo wako kurizia.unapewa mahaba mazito hadi akili inakuruka huo msimamo wako hadi unapotea

heee heee atoto ukuje pande hii
 
Last edited by a moderator:
Weka hata picha ya kucha basi! si masharti marefu km zindiko la utajiri kumbe binti mwenyewe Asha Ngedere afadhali, kicheko ka cha Bi Chau!?

heheheeeeee!!
 

hahaaaa!!! wakae mbali, inapobidi watasaidiwa ila sio lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…