Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
Ukawa wasisitiza ni "miujiza" wao kurejea Bungeni Agosti 5, labda endapo tu!kama kikao cha kesho na Msajili, F. Mutungi kitatatua dosari walizoziainisha.
Tusipokuwa wanafiki CCM, ndiyo wanaowazuia wananchi kupata Katiba Mpya kwa kuua moyo wa Rasimu ambao ni serikali 3.
Tusipokuwa wanafiki CCM, ndiyo wanaowazuia wananchi kupata Katiba Mpya kwa kuua moyo wa Rasimu ambao ni serikali 3.