Mtelekezwa
Senior Member
- Feb 6, 2012
- 109
- 23
jk yuko wap kutoa kauli au maamuzi ,juu ya hk kinachoendelea.au hafaham kinachoendelea au hayupo apa Tz
yupo busy na matokeo ya mwanae kafunga mkia feza girlz.
Mkia tena ? Akili hizi ni za mama au Baba ?Maana mzee wake ni DR wa ma Dr yeye vipi tena ?
Kwa kweli nadhani ni suala binafsi lisilofaa kujadiliwa JF lakini nimeangalia nikaona kumbe mtoto wake kweli kawa wa mwisho kabisa na yeye ndiye peke yake kapata DIV IV wenzake wote DIV I-III!
Duh!!! hapo nilipo-underline; ndo unamaanisha nn mkuu!!! au unafuraia mtoto wa mkulu ku-fail??? punguza hasira kidogo mkuu!!!
jk yuko wap kutoa kauli au maamuzi ,juu ya hk kinachoendelea.au hafaham kinachoendelea au hayupo apa Tz
Kwa kweli nadhani ni suala binafsi lisilofaa kujadiliwa JF lakini nimeangalia nikaona kumbe mtoto wake kweli kawa wa mwisho kabisa na yeye ndiye peke yake kapata DIV IV wenzake wote DIV I-III!