Msilalamike , it's a blessing in disguise

Msilalamike , it's a blessing in disguise

el nino

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
4,712
Reaction score
5,070
Watu wengi hasa wanaoamini katika demokrasia ya vyama vingi hapa nchini Pakistan wanalalamika kuona chama tawala kinaenda kushinda almost kila nafasi kwa ushindi wa kishindo as if hawana upinzani kabisa, nawaambieni msilalamike, hiyo ni baraka iliyojificha.

Kwanini ni baraka iliyojificha?

1. Kazi na faida za upinzani zitafahamika vyema zaidi. Tangia mfumo wa vyama vingi ulipochukua hatamu hapa Pakistan watu wengi hawajajua faida yake, kwa kuwa sasa trend ya matokeo yaliyotangazwa inaonyeshwa wameshashindwa pakubwa, watu ndio watajua faida yake, zile hoja zilizokuwa zikiletwa kuibua ufisadi n.k hazitasikika , matokeo yake itakuwa mwendo wa ndio mzee, hii itapelekea baadhi ya vitu kupita tuu bila scrutiny yeyote ili hivyo wanachi kushtuka wanachokikosa kwahiyo itakuwa advantage kwao kuanzia chaguzi zote zinazokuja.

2. Chama tawala kitakuwa na wabunge almost wote ,madiwani almost kata zote, na wenyeviti mitaa yote hivyo ni rahisi wao kupitisha agenda zao za maendeleo bila kuwa na kisingizio chochote kile.

Endapo watafeli kwa miaka mitano , katika chaguzi zinazokuja hawatakuwa na agenda yeyote mpya kwa kuwa walipewa nafasi ya kuunda serikali za mitaa, serikali kuu na Bunge bila kuleta maendeleo kwa watu , hivyo hakutakuwa na hoja yeyote ile mpya zaidi ya kujichimbia kaburi lao wenyewe.

3. Kujirekebisha makosa yao, Wapinzani walifanya makosa makubwa sana uchaguzi uliopita hii ni nafasi kwao kujirekebisha na kujua gharama za shortcuts walizotaka kuzitumia, kwa kuwa watakuwa nje ya ulingo ni vyema watumie huu muda kujichunguza, kujikagua na kujirekebisha katika yale yote waliokosea.


Itaendelea
 
Pakistan inaenda kuwa urayaaa,2025 arusha isipokywa kama kalifoniya sijui watasema nan katucheleweshaa.jiwe kawainhizabkwenye mtego mbaya sana
 
Pakistan inaenda kuwa urayaaa,2025 arusha isipokywa kama kalifoniya sijui watasema nan katucheleweshaa.jiwe kawainhizabkwenye mtego mbaya sana
waliomfunga mtu miguu na mikono wooote nje kule na yuko huru kupaisha maendeleo ya nchi yetu
 
Aisee mizee ya Tanzania ni mijinga sijawahi kuona kote nilikotembea.
Msiisadie iacheni iangamie na kufedheheka na roho za huruma ondoeni kabisa.

Hiyo ndiyo imefanya ujinga na kuna mivijana miboya kabisa yani mifala
 
Unafikiri ni nini kitatokea kwa NECCM 2025? Kwamba watakuwa wameokoka kabla ya 2025?
Watu wengi hasa wanaoamini katika demokrasia ya vyama vingi hapa nchini Pakistan wanalalamika kuona chama tawala kinaenda kushinda almost kila nafasi kwa ushindi wa kishindo as if hawana upinzani kabisa, nawaambieni msilalamike, hiyo ni baraka iliyojificha.

Kwanini ni baraka iliyojificha?

1. Kazi na faida za upinzani zitafahamika vyema zaidi. Tangia mfumo wa vyama vingi ulipochukua hatamu hapa Pakistan watu wengi hawajajua faida yake, kwa kuwa sasa trend ya matokeo yaliyotangazwa inaonyeshwa wameshashindwa pakubwa, watu ndio watajua faida yake, zile hoja zilizokuwa zikiletwa kuibua ufisadi n.k hazitasikika , matokeo yake itakuwa mwendo wa ndio mzee, hii itapelekea baadhi ya vitu kupita tuu bila scrutiny yeyote ili hivyo wanachi kushtuka wanachokikosa kwahiyo itakuwa advantage kwao kuanzia chaguzi zote zinazokuja.

2. Chama tawala kitakuwa na wabunge almost wote ,madiwani almost kata zote, na wenyeviti mitaa yote hivyo ni rahisi wao kupitisha agenda zao za maendeleo bila kuwa na kisingizio chochote kile.

Endapo watafeli kwa miaka mitano , katika chaguzi zinazokuja hawatakuwa na agenda yeyote mpya kwa kuwa walipewa nafasi ya kuunda serikali za mitaa, serikali kuu na Bunge bila kuleta maendeleo kwa watu , hivyo hakutakuwa na hoja yeyote ile mpya zaidi ya kujichimbia kaburi lao wenyewe.

3. Kujirekebisha makosa yao, Wapinzani walifanya makosa makubwa sana uchaguzi uliopita hii ni nafasi kwao kujirekebisha na kujua gharama za shortcuts walizotaka kuzitumia, kwa kuwa watakuwa nje ya ulingo ni vyema watumie huu muda kujichunguza, kujikagua na kujirekebisha katika yale yote waliokosea.


Itaendelea
 
Msisubiri miaka mitano, mabadiliko yaanze sasa hivi. Mkianza na viongozi wa juu, waelewe kuwa Tanzania si kisiwa ni nchi.
 
Dah
IMG_20201029_080340_956.JPG
 
Puerto Rico......😀😀😂🤣
Haya tunategemee Ulaya, na wana Kawe kuhamia Alabama!

Everyday is Saturday................................😎
 
Katika kitu ambacho taifa la pakistan litapata wakati mgumu kushughulika nalo ni namna ya kuhandle global politics maana mtawala wa kwanza pakistan alishindwa hlo baadala yake alikuja na hoja za nang'atuka na kumuuzia kesi mwenzake sitashangaa kuona wapakistan wakirud tena kule kwa jana afu badae wataanza kuulizana mbona mtawala wa kwanza alijenga viwonder ving leo hatuvion lakin wanasahau dhahabu inakuwa nzur ikiwa mikonon mwa binadamu na sio nguruwe
 
Nililiona hili toka jana hii michakato inavyoenda upinzani hawana chao
 
Wenzako tayari wanatangaza vita huko, umeona mitutu ya Bunduki walio nayo? Hawa jamaa ni sikio la kufa, mimi nafikiri Tundu Lisu IQ yaje haiko sawa sijui hata aliwezaje kufaulu koote huko na kuwa loya, wakati mwingine namuona hata anasahau au hajali kama ana Familia na watoto ambao siajabu wanamuhitaji, ...

1603960874195.png
 
Watu wengi hasa wanaoamini katika demokrasia ya vyama vingi hapa nchini Pakistan wanalalamika kuona chama tawala kinaenda kushinda almost kila nafasi kwa ushindi wa kishindo as if hawana upinzani kabisa, nawaambieni msilalamike, hiyo ni baraka iliyojificha.

Kwanini ni baraka iliyojificha?

1. Kazi na faida za upinzani zitafahamika vyema zaidi. Tangia mfumo wa vyama vingi ulipochukua hatamu hapa Pakistan watu wengi hawajajua faida yake, kwa kuwa sasa trend ya matokeo yaliyotangazwa inaonyeshwa wameshashindwa pakubwa, watu ndio watajua faida yake, zile hoja zilizokuwa zikiletwa kuibua ufisadi n.k hazitasikika , matokeo yake itakuwa mwendo wa ndio mzee, hii itapelekea baadhi ya vitu kupita tuu bila scrutiny yeyote ili hivyo wanachi kushtuka wanachokikosa kwahiyo itakuwa advantage kwao kuanzia chaguzi zote zinazokuja.

2. Chama tawala kitakuwa na wabunge almost wote ,madiwani almost kata zote, na wenyeviti mitaa yote hivyo ni rahisi wao kupitisha agenda zao za maendeleo bila kuwa na kisingizio chochote kile.

Endapo watafeli kwa miaka mitano , katika chaguzi zinazokuja hawatakuwa na agenda yeyote mpya kwa kuwa walipewa nafasi ya kuunda serikali za mitaa, serikali kuu na Bunge bila kuleta maendeleo kwa watu , hivyo hakutakuwa na hoja yeyote ile mpya zaidi ya kujichimbia kaburi lao wenyewe.

3. Kujirekebisha makosa yao, Wapinzani walifanya makosa makubwa sana uchaguzi uliopita hii ni nafasi kwao kujirekebisha na kujua gharama za shortcuts walizotaka kuzitumia, kwa kuwa watakuwa nje ya ulingo ni vyema watumie huu muda kujichunguza, kujikagua na kujirekebisha katika yale yote waliokosea.


Itaendelea

Mmeanza. Hivi kwa sera zipi hasa. Wapinzani wamekaa kighasia tupu.
 
Aisee mizee ya Tanzania ni mijinga sijawahi kuona kote nilikotembea.
Msiisadie iacheni iangamie na kufedheheka na roho za huruma ondoeni kabisa.

Hiyo ndiyo imefanya ujinga na kuna mivijana miboya kabisa yani mifala
Nakuelewa sana mzee mwenzangu!! Kuna mizee mipumbavu kabisa
 
Back
Top Bottom