Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,001
- 134,196
Bakari Mrisho Kikwete
Innalillah wainailayh rajiuun, huu ni msiba ndugu zangu ktmk imani Benard Membe ndani ya msikiti Dodoma akitangaza nia yakugombea uraisi, tunaelekea wapi waislam na uislam..
Waislam haya ndio masuala ya kutolea tamko, iweje asiye Muislam kukaa mbele ya Membari? Ina maana Membe anahaki ya kuufanya uislam atakavyo?
nyie nao mnakera kila kitu iman mara uislam! mbona wakristo hawanaga hizo? jana lowasa leo membe yaani mkikaa kazi yenu ni kutafuta watu wamefanya nini kwa imani yenu? acheni ushamba! mwislam anayeijua imani vizuri huwez mkuta anakurupukia vitu vidogo kama hivyo ila nyie uchwara sasa ndo mnajidai kujuuua!!.....kajilipueni na mabomu basi
hivi ilikuwakuwaje!!
yuko anatoa mawaidha kweli Membe ni wa wote.
mshenzi funga kizibo chako hicho tumefunga
mshenzi funga kizibo chako hicho tumefunga
kijana uislam sio kama dini zingine ,mifumo imewekwa na wanaadamu..uislam una taratibu zake kamili,sio dini ya kujiundia mambo,hilo swala halikubaliki hata iweje?muislam pekee ndio anyepaswa kusimama ndani ya membari tena kwa mambo yanayohusu uislam na sivinginevyo.sikubaliani na hili swala.then kama ujui ni bora kunyamaza watu watakuheshimu
wewe bahati yako kichwa chako (shingo) ingekuwa halali yanguUislamu sio ukristo mkuu.. ..kila din ina mipaka yke kwaiyo ni jukumu la kila mmoja kuheshimu mipaka ya mwenzie.. ...wasalaam