Msikiti wa Gaddafi, Dodoma wamshukuru Membe

Msikiti wa Gaddafi, Dodoma wamshukuru Membe

Dah hawa jamaa uwa wanamatusi wakati ata allah mwenyewe anapokea nguvu kutokana na funga zao,pili membe ni ndugu yenu kutoka kwa baba yake na kikwete.kuchinja wale mnaowaita makafiri hamuwezi kwani wana akili kuliko nyinyi pia wanatumia bastora badal ya visu na majambia.
 
Umetumwa upo team Lohasa mana anasaidia kwny harambee za mickt hamsemi
 
nani aliye mkaribisha? nani aliye muekekeza asimame hapo? nani mwenyeji wake? je, alikurupuka mwenyewe akaingia msikitini na kuanza kupayuka? bila shaka ni muislam mwenzio. lakini je, hajui kanuni? uctoe povu na wala ucjilipue maana hamkawiagi nyie. tafta aliyemleta humo muulize. ------ na mpagani wote ni wamoja. stay blessed
 
Hili kwakweli ni kufuru kwa ndugu zetu waislamu na udhalilishwaji mkubwa wa dini za watu.kulikuwa hakuna haja ya kufika mpaka kwenye membari.wakati mwingine tuache kudhalilisha dini za wenzetu Membe hakupaswa kufanya haya aliyo yafanya wakati mwingine najiuliza huwa hana washauri wa mambo ya kisiasa?

Wa kulaumiwa ni sheikh aliyemruhusu.
 
Daaah!! Hawa ndgu zetu bhana full kupenda maugomvi!!!
 
Kwa hapa mimi siyo muislamu lakini hapa membe kachemka sana.hakupaswa kufanya huo upuuzi alioufanya,hiyo picha nimeiyona inazunguka kwenye magroup ya watssp

Mwenye shida ni membe kivipi???

We kama kiongozi wa dini tena ile unayoita safi,,, inakuwaje upotoke kuruhusu mtu baki kuingia kwa msikiti wako? Nina doubt na imani yao!
 
Kwani kuna watu special wa kukaa hapo??
 
Wewe ulimkaribisha? Shida wengine wanafanya we unaweweseka.
Kwa hapa mimi siyo muislamu lakini hapa membe kachemka sana.hakupaswa kufanya huo upuuzi alioufanya,hiyo picha nimeiyona inazunguka kwenye magroup ya watssp
 
hivi ilikuwakuwaje!!
 

Attachments

  • 1435921666342.jpg
    1435921666342.jpg
    57.6 KB · Views: 1,644
yuko anatoa mawaidha kweli Membe ni wa wote.
 
Nijuavyo mm hakuna ------ anaemtakia muislam jambo jema.
 
Back
Top Bottom