Msikiti mkubwa wa barabara ya saba Dodoma hivi sasa unaungua moto. Imetokea mapema baada ya ibada ya Ijumaa na umeanzia ghorofa ya juu. Kuna taharuki kubwa! Hofu nyaya za umeme zitashika moto. Hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha
Poleni ndugu zetu waislam
Source: Magic F. M.
We mjinga kweli, watu uhamaki kulingana na chanzo cha tatizo, leo mleta mada anasema ni nyaya za umeme, sio kwamba umechomwa na watu, ambavto makanisa yanakuwa yamechomwa.
Msikiti mkubwa wa barabara ya saba Dodoma hivi sasa unaungua moto. Imetokea mapema baada ya ibada ya Ijumaa na umeanzia ghorofa ya juu. Kuna taharuki kubwa! Hofu nyaya za umeme zitashika moto. Hakuna majeruhi wala aliyepoteza maisha
Poleni ndugu zetu waislam