Msijibu emails kama hizi, nyingi zinatoka Nigeria

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
MY NAME IS BILL GATE, I AM THE RICHEST MAN IN THE WORLD

Tell me one thing you need from me, and i will do it for you

1. M0NEY - 5OOK
2. CAR
3. PHONE
4. VISA
5. SCHOLARSHIP TO STUDY ABROAD
6. PROMOTE YOUR BUSINESS
7. OTHERS SIGNIFY

Use the (SEND MESSAGE) button below and send me a message today, and I will surprise you..

Start now!
 
Siyo hao tu na wakenya njaa, Wazungu wamo humo wanachofanya ni kurengesha warembo matata wa kizungu na kuwatanabaisha kuwa wanatafuta wachumba kwa Gharama zao, wamechoka kuwa wapweke, sasa ingia mkenge uone rangi zote mara utaambiwa tuma P/port yako Nairobi, upewe visa uje,

au sasa Wazungu wanasema wanaweza kufanya biashara yenye faida na wewe ya Bureau ex..hivo wataomba uwapatie number za card yako ya Bank, check no, P/port nk

ukiona hivi wajibu kwa namana mbili 1.Siyo mbaya ukiwasikiliza wanavyo danganya watu, na kuwa tambua uzuri hakuna kitu kizuri km kujua njia za adui yako mtandaoni, Lugha Zao, mahali walipo,utawaonaje nk, hata wakiomba number ya Bank wape fake, unaweza andika yeyote tu, uone mwisha wao! ilimraddi unajua hawa ni matapeli wa mitandaoni.

2. Ukiona vepe wambie mimi ni mjukuu wa David Lockfeller niko mbuga za serengeti kwa muda ,wewe ndiyo unapaswa kuwasaidia kwa sababu maisha yako yame Ballance! Bill Gate cha mtoto, wambie wakutumie wao! number zao! Dawa ya moto ni moto! hawatakaa warudi tena

Nilipata Dem wa Ki-Danish, akanitongoza bana! eti wana viwanda kwao! nika mjibu kwa ki-Danish, akapotezea. nkajua ndo walewaleee! unajua tulifikia wapi!............

siku moja nitatoa na picha zake liwe fundisho kwa wengine wasiojua.
 
MY NAME IS BILL GATE, I AM THE RICHEST MAN IN THE WORLD

Tell me one thing you need from me, and i will do it for you

1. M0NEY - 5OOK
2. CAR
3. PHONE
4. VISA
5. SCHOLARSHIP TO STUDY ABROAD
6. PROMOTE YOUR BUSINESS
7. OTHERS SIGNIFY

Use the (SEND MESSAGE) button below and send me a message today, and I will surprise you..

Start now!
Kwa Afrika au Duniani wa nigeria wanaongoza kwa utapeli. Kwa tanzania maccm yanashika usukani
 
Back
Top Bottom