Msigwa: Tunategemea Mkataba na DP World kudumu miaka 30

Msigwa: Tunategemea Mkataba na DP World kudumu miaka 30

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,448
Reaction score
2,099
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza leo Januari 20, 2026 na vyombo vya habari amesema serikali mkataba NA DP World kudumu kwa miaka 30

Aidha ameeleza kuwa malengo yaliyowekwa na serikali ilikuwa kuwekeza dola Milioni 250 kwa kipindi cha miaka 5 ambapo ndani ya 2021 hadi 2022 tayari serikali imewekeza dola 214 na uwekezaji unaendelea akieleza Kampuni ya DP World yenyewe imewekeza bilioni 214


 
Daaaaah sisi ni wakukosa dola Million 214 kweli mpaka tukawachukue wahuni kuja kutuendeshea bandari
 
Siyo mchezo!!!

Kwani ni wa kwanza huu?miaka yote pamoja na kubadilisha vichwa vya watendaji huko maofisini bado wanarudia kosa lile lile kusain mikataba ya Kimang’ung’o,kwani ingewekwa miaka 10/10 lengo kutafuta namna nyengine huko mbeleni isingewezekana?
 
Daaaaah sisi ni wakukosa dola Million 214 kweli mpaka tukawachukue wahuni kuja kutuendeshea bandari
Shida ya wabongo wezi saana,

Yaani inabidi ufanye kazi kwelikweli kupata matokeo.

Ukiwa na kampuni yako weka meneja muhindi, mouth, au mkenya ndo utaona waTZ wanafanya kazi.

Ila ukiwawekea boss mbongo wote wanageuka wapigaji inabaki hasara kwako muwekezaji.

Wabongo bila kuendeshwa na kunyanyaswa kama watumwa hawafanyi kazi kabisa
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza leo Januari 20, 2026 na vyombo vya habari amesema serikali mkataba NA DP World kudumu kwa miaka 30

Aidha ameeleza kuwa malengo yaliyowekwa na serikali ilikuwa kuwekeza dola Milioni 250 kwa kipindi cha miaka 5 ambapo ndani ya 2021 hadi 2022 tayari serikali imewekeza dola 214 na uwekezaji unaendelea akieleza Kampuni ya DP World yenyewe imewekeza bilioni 214


Kila siku DPW, DPW….kwanini wanafikiri mwaka wa 3 huu wanaelezea kitu kilekile na hakieleweki?? Maana yake WIZI NA USHENZY
 
Kuna msemo unasema, ukikubali kumuoa nyani kwasabau ana hela kuna muda pesa zitaisha ila nyani atabaki
 
Mikataba wanasaini chumbani kwa siri
halafu wanatuma hii pimbi kusema hadharani

Miaka 30 haitoshi wawape ile ya milele!
 
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akizungumza leo Januari 20, 2026 na vyombo vya habari amesema serikali mkataba NA DP World kudumu kwa miaka 30

Aidha ameeleza kuwa malengo yaliyowekwa na serikali ilikuwa kuwekeza dola Milioni 250 kwa kipindi cha miaka 5 ambapo ndani ya 2021 hadi 2022 tayari serikali imewekeza dola 214 na uwekezaji unaendelea akieleza Kampuni ya DP World yenyewe imewekeza bilioni 214


👀
 
Back
Top Bottom