Msigwa: The government is very busy but not effective!

Msigwa: The government is very busy but not effective!

kuchangumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2014
Posts
724
Reaction score
290
Wabunge wa ccm ni watu wa ajabu sana msigwa kamsifia mkurugenzi wa manispaa ya iringa mjini kwa usafi ambao msigwa naye anafanyaga na kuifanya manispa hiyo kuwa ya pili kitaifa baada ya moshi
Lakini cha ajabu hata makofi wameshindwa kupiga mpaka kawalazimisha pigeni hata makofi basi
Ndio kwa kwa kwa...hata mambo ya msingi wanabana kisa mpinzani acheni ujinga ccm!
 
Akichangia wizara ya fedha ametoa kauli hiyo. Na pia amesema serikali iko busy lakini sio effective. Kazungumzia hivyo kwa maana ya kuwa kuna watu wanarudisha nyuma taifa letu kwa kukosa uzalendo.
 
Siku hizi mtu akitimiza majukumu yake huwa anapigiwa makofi.
 
Ameishangaa serikali kufanya matumizi ya kufuru wakati inadaiwa na wananchi mpaka wanafilisika!
 
Anayevaa skafu yenye rangi za bendera ya taifa akijifanya mzalendo ni Mwigulu Nchemba.
 
mnafiki mkubwa huyo,anavaa skafu akijifanya mzalendo kumbe muuaji wa raia wasiokuwa na hatia.Damu za watz alioshiriki mauaji yao itakuwa juu ya kichwa chake daima.
 
Mbona yeye msigwa Hana huo uzalendo
Kama Msigwa si mzalendo itakuwaje Kinana mzee wa dili hizi hapa chini
meno ya tembo2.JPG meno ya tembo.JPG P9020286.JPG
 
Wabunge wa ccm ni watu wa ajabu sana msigwa kamsifia mkurugenzi wa manispaa ya iringa mjini kwa usafi ambao msigwa naye anafanyaga na kuifanya manispa hiyo kuwa ya pili kitaifa baada ya moshi
Lakini cha ajabu hata makofi wameshindwa kupiga mpaka kawalazimisha pigeni hata makofi basi
Ndio kwa kwa kwa...hata mambo ya msingi wanabana kisa mpinzani acheni ujinga ccm!
Hii inaashiria nini sijui. Hebu tujiulize, wa kwanza kwa usafi hapa nchini ni manisipaa ya Moshi chini ya Ndesamburo ( chadema) ya pili ni Iringa ya Msiigwa (chadema) ya tatu ni Nyamagana chini ya Wenje (Chadema). Kwa nini wabunge wa Chadema ndio wanaoongoza kwa usafi? Usafi ni moja ya vigezo kuonyesha mtu anamaendeleo.
Yaweza kuwa sababu kwa nini wqbunge wa CCM wamekataa kumpongeza mkurugenzi wa Iringa kwa vile wivu unawasumbua. Wafanye kazi sio kuwa wazomeaji na wasakatonge pekee
 
ameongea bonge la pointi wabunge wa chadema wapo makini
 
Hii inaashiria nini sijui. Hebu tujiulize, wa kwanza kwa usafi hapa nchini ni manisipaa ya Moshi chini ya Ndesamburo ( chadema) ya pili ni Iringa ya Msiigwa (chadema) ya tatu ni Nyamagana chini ya Wenje (Chadema). Kwa nini wabunge wa Chadema ndio wanaoongoza kwa usafi? Usafi ni moja ya vigezo kuonyesha mtu anamaendeleo.
Yaweza kuwa sababu kwa nini wqbunge wa CCM wamekataa kumpongeza mkurugenzi wa Iringa kwa vile wivu unawasumbua. Wafanye kazi sio kuwa wazomeaji na wasakatonge pekee

ndo ccm wajiulize hayo. Alafu eti wakasema msigwa ndo atasababisha uchafu iringa. Lakin nadhan mnaona wenyewe
 
Back
Top Bottom