Mabondia wa chadrama walahiInawezekana kwenye mkutano huko kihesa badala ya kusikiliza kero za wananchi ye kaanza kumshambulia RC..wakati kwenye ziara za RC hatukuona hata sehemu moja akimtaja msigwa..huyu msigwa ana matatizo sana..kuna kipindi alimtuhumu dc kasesera hadi akataka kupigana kuwa anapenda sana kumtajataja..kaja RC kaonaa hatajwitajwi, ye ndio anaanza kumtajataja kwa kuita waandishi na mikutano ya kisiasa..azuiliwe tu maana hana hoja za kusaidia wananchi.
Tumepoteza mwelekeo mpaka tunafikiri kuwa ukiwa na cheo halafu mtu akapishana na wewe dawa ni kumuweka ndani, tumesahau kabisa kuwa haki huinua taifa Mithali 14:34Inawezekana kwenye mkutano huko kihesa badala ya kusikiliza kero za wananchi ye kaanza kumshambulia RC..wakati kwenye ziara za RC hatukuona hata sehemu moja akimtaja msigwa..huyu msigwa ana matatizo sana..kuna kipindi alimtuhumu dc kasesera hadi akataka kupigana kuwa anapenda sana kumtajataja..kaja RC kaonaa hatajwitajwi, ye ndio anaanza kumtajataja kwa kuita waandishi na mikutano ya kisiasa..azuiliwe tu maana hana hoja za kusaidia wananchi.
kuna kikundi fulani cha vijana masikini wanaolipiwa kodi ya nyumba na ccm kama huyu nyundo2017 , ni lazima walambe miguu ya ccmHuyu jamaa huyu, hivi wewe ni kada au mfuasi
Ukishaanza na neno inawezeka taarifa nzima inakuwa haina ukweli wowote.Inawezekana kwenye mkutano huko kihesa badala ya kusikiliza kero za wananchi ye kaanza kumshambulia RC..wakati kwenye ziara za RC hatukuona hata sehemu moja akimtaja msigwa..huyu msigwa ana matatizo sana..kuna kipindi alimtuhumu dc kasesera hadi akataka kupigana kuwa anapenda sana kumtajataja..kaja RC kaonaa hatajwitajwi, ye ndio anaanza kumtajataja kwa kuita waandishi na mikutano ya kisiasa..azuiliwe tu maana hana hoja za kusaidia wananchi.
Okaaay!! Nimejua sasa, sina sababu ya kumshangaa nashukuru umenitoa ujinga kwa kwlkuna kikundi fulani cha vijana masikini wanaolipiwa kodi ya nyumba na ccm kama huyu nyundo2017 , ni lazima walambe miguu ya ccm