Msigwa Simama Imara

Highlander

JF-Expert Member
Feb 12, 2012
3,093
1,075
Msigwa simama imara!

Ingawa mjadala wa Kesi ya Kinana na Msigwa hapa JF ni contempt of court....niseme haya

1. Kwamba uzi wowote unaozusha mjadala huu unaweza kuwa 'dry run' kutafuta mawazo ya kumtoa mtu kwenye utata; yaani ni kumsaidia kinana kutoka kwenye kibano. Uzi unaweza kuanza kama "dry run." kutafuta njia za kukwepa tatizo. wanakusanya mawazo.... Msigwa usiteteleke....

2. As far as I am concerned, zipo adhabu kwa mtu au taasisi yoyote ambayo inatumiwa kama "accessory" katika kutenda kosa. Kosa limefanyika. Pembe haramu zimepatikana. Kwa hiyo kama Kinana ni mmiliki Mkuu wa kampuni iliyotenda kosa hilo la jinai, yeye ni accessory katika jinai hiyo. ana kesi ya kujibu.

Msigwa simama imara!
 
Nasema tena Kinana ni jangili la meno ya tembo, amekwenda mahakamani ili kuficha uovu wake. Lakini lazima atambue yeye muda wake umeshapita, atawaachia nini wajukuu zake? zaidi ya hizo fedha alizoficha Uswiss
 
Billicanas kuna wauza unga tunawajua kwa majina. Je, hiyo inamfanya Mbowe awe accessory wa drugs pale club billicanas?

Uwe una jaribu kufikiri kwa mapana na marefu, sio tu unaleta ushabiki wako wa uchadema maana hauna tija yoyote, wewehumo humu unasema Msigwa simama imara, mwenzako yuko kikaangoni akisubiri kufilisiwa kwa hatia ya defamation.
 
Billicanas kuna wauza unga tunawajua kwa majina. Je, hiyo inamfanya Mbowe awe accessory wa drugs pale club billicanas?

Uwe una jaribu kufikiri kwa mapana na marefu, sio tu unaleta ushabiki wako wa uchadema maana hauna tija yoyote, wewehumo humu unasema Msigwa simama imara, mwenzako yuko kikaangoni akisubiri kufilisiwa kwa hatia ya defamation.

rudi kwenye uzi wako wa CCM tafadhali. kamjadili msigwa kule, niache nimjadili kinana huku. asante!
 
Mabasi ya Mtei yanabeba majambazi kutoka Arusha kuja Dar Es Salaam kufanya ujambazi.

Wabeba "unga" kila siku wanasafiri kwa ndege za mashirika mbalimbali.

Tunaelewa kwamba mtu akipenda, chongo huita kengeza lakini wakati mwingine kabla hujatuletea thread yako hapa jamvini ukae chini ufikirie kwanza na uweke mapenzi pembeni.
 
hakika kinana hatoki kwa hii issue ya tembo na meno yake..NOTE THIS ..KINANA UNA KESI YA KUJIBU.MSIGWA WALA USIHOFU MWOMBE MUNGU UZIMA .
 
Mabasi ya Mtei yanabeba majambazi kutoka Arusha kuja Dar Es Salaam kufanya ujambazi.

Wabeba "unga" kila siku wanasafiri kwa ndege za mashirika mbalimbali.

Tunaelewa kwamba mtu akipenda, chongo huita kengeza lakini wakati mwingine kabla hujatuletea thread yako hapa jamvini ukae chini ufikirie kwanza na uweke mapenzi pembeni.

mnatafuta mawazo humu. nendeni na wazo kwamba kampuni yako ikitumika kutenda kosa mkurugenzi hakwepi kibano. katika sheria za tot kwa mfano, ukisambaza waraka wa mtikila wenye defamation, wewe uliyesambaza waraka huo una udhabu, hata kama ni wa mtikila. huyu kawezesha kosa kufanyika. anayo kesi ya kujibu. ondokeni na wazo hilo.
 
Mabasi ya Mtei yanabeba majambazi kutoka Arusha kuja Dar Es Salaam kufanya ujambazi.

Wabeba "unga" kila siku wanasafiri kwa ndege za mashirika mbalimbali.

Tunaelewa kwamba mtu akipenda, chongo huita kengeza lakini wakati mwingine kabla hujatuletea thread yako hapa jamvini ukae chini ufikirie kwanza na uweke mapenzi pembeni.

Waambie wasije wakamgeuka huyo msigwa wao maana hawa ni vigeugeu sijaona,
 
Billicanas kuna wauza unga tunawajua kwa majina. Je, hiyo inamfanya Mbowe awe accessory wa drugs pale club billicanas?

Uwe una jaribu kufikiri kwa mapana na marefu, sio tu unaleta ushabiki wako wa uchadema maana hauna tija yoyote, wewehumo humu unasema Msigwa simama imara, mwenzako yuko kikaangoni akisubiri kufilisiwa kwa hatia ya defamation.

Huu ni uzi wa pili nikikuona ulivyomwehu.... nimethibitisha u mwehu
 
Nasema tena Kinana ni jangili la meno ya tembo, amekwenda mahakamani ili kuficha uovu wake. Lakini lazima atambue yeye muda wake umeshapita, atawaachia nini wajukuu zake? zaidi ya hizo fedha alizoficha Uswiss

msigwa failed on the pulpit he will also fail kizimbani. we all know that one is innocent untill proven guilty in a law of court. How could a politician, who has a learned and religious back ground like Msigwa endulge himself in the politics of heresy. yeye si ndiye aliyekuwa akiwaonya watu kanisani wasiseme uongo, uchochezi na kuleta mambo ya fitini na ni dhambi. Jamaani mbona Chadema ina viongozi wakidi waliongia kwemye siasa na ni waongo, wanafiki na wengine wazinifu, hili sio jambo la kushangaza...
 
mnatafuta mawazo humu. nendeni na wazo kwamba kampuni yako ikitumika kutenda kosa mkurugenzi hakwepi kibano. katika sheria za tot kwa mfano, ukisambaza waraka wa mtikila wenye defamation, wewe uliyesambaza waraka huo una udhabu, hata kama ni wa mtikila. huyu kawezesha kosa kufanyika. anayo kesi ya kujibu. ondokeni na wazo hilo.

Sheria za torts sio kama unavyopotosha watu humu, 'liability without fault' haipo kama ulivyo ifafanua kwa kutumia huo mfano wako na kesi ya Kinana.
 
Sheria za torts sio kama unavyopotosha watu humu, 'liability without fault' haipo kama ulivyo ifafanua kwa kutumia huo mfano wako na kesi ya Kinana.

haya: wewe ndo mpotoshaji hapa, 'liability without fault' maanake nini unataka kundandia kazi za watu wewe. 'liability without fault' ina maana gani....
 
Kinachonisikisha mimi ni kwamba inawezekana baada ya miaka 7 tukawa hatuna ndovu kabisa kutokana na ujangili. Out of that, Msigwa is free from defamation case because he made a fair comment for the good faith and for the public interest only!
 
Kama kuna logic na evedence ya kutosha jibu ni ndiyo.

Sasa kama ni Wanyambara wa kweli nendeni mkasimame kidete Bungeni semeni Mbowe ni muuza unga muone litakavyo chachamalia mpaka mnywe.

Hii Topic ya kuuza unga CCM hawaitaki kabisa Bungeni ilisha wahi kwenda hapo watu walitafutana na viti kuota mbigili.

Billicanas kuna wauza unga tunawajua kwa majina. Je, hiyo inamfanya Mbowe awe accessory wa drugs pale club billicanas?

Uwe una jaribu kufikiri kwa mapana na marefu, sio tu unaleta ushabiki wako wa uchadema maana hauna tija yoyote, wewehumo humu unasema Msigwa simama imara, mwenzako yuko kikaangoni akisubiri kufilisiwa kwa hatia ya defamation.
 
Sheria za torts sio kama unavyopotosha watu humu, 'liability without fault' haipo kama ulivyo ifafanua kwa kutumia huo mfano wako na kesi ya Kinana.

Wakati mwingine jitahidi kuwa ProTanzania na siyo kutetea hata ujinga.ANgalia mali asili zetu zinafujwa na viongozi wetu tuliowapa madaraka ya kuyalinda leo Mtanzania unawapigania wevi na wanyang'anyi wa mali ya umma.Labda uniambie ndugu yangu unafaidika sana na utaratibu wa viongozi wetu hawa.Pole sana kwa kutopigania maliasili ya nchi yako.Nadhani kuna siku watoto wako watakulaani sana.
 
Mabasi ya Mtei yanabeba majambazi kutoka Arusha kuja Dar Es Salaam kufanya ujambazi.

Wabeba "unga" kila siku wanasafiri kwa ndege za mashirika mbalimbali.

Tunaelewa kwamba mtu akipenda, chongo huita kengeza lakini wakati mwingine kabla hujatuletea thread yako hapa jamvini ukae chini ufikirie kwanza na uweke mapenzi pembeni.
Nimeamini nyinyi akili zenu ubongo mlionao ni kama wa kuku hivi muuza unga anayebeba mzigo kwenye basi na ukiwa kwenye kabegi kuna mtu yeyoye anayekagua kwa utaratibu wa kawaida wa usafiri wa mabasi? swala la usafirishaji wa Pembe za ndovu usafirishwa kwenye Makontena ambayo ukaguliwa na kuwekewa seal na alama ya kilichomo humo sasa katika process zote hizo kampuni haiwezi kujua kwamba mzigo huo ni pembe hadi China ndo wakamate?
 
Kinachonisikisha mimi ni kwamba inawezekana baada ya miaka 7 tukawa hatuna ndovu kabisa kutokana na ujangili. Out of that, Msigwa is free from defamation case because he made a fair comment for the good faith and for the public interest only!

Correct mkuu. Moja, ilikuwa fair comment. mbili, ilifanywa kwa undani zaidi bungeni--ambako kuna immunity. Hawa ndugu zetu wa CCM wanadhani kujua kusema sana ndiyo njia ya kupoteza ukweli. Tanzania imebadilika sana aise.

Kinana ana kesi ya kujibu hapa, na kama msigwa anataka mazungumzo, huu ni mtego wa kupima busara. Si kuomba radhi kwa matamshi yake kwa kuwa hayakuwa na tatizo.

Kinana anahusika na tatizo la pembe za ndovu. Kama si moja kwa moja basi kupitia operational agents katika kampuni yake. Naamini kuna vipengele katika sheria vinavyolazimisha umakini katika kuteua watendaji katika kampuni yako. Wafanyakazi wanafanya kazi kwa niaba yako. Unatakiwa kuwa makini kuweka watu ambao ni above reproach kwa kuwa wakiwa chanzo cha jinai katika kampuni ni wewe upo katika jinai.

Haiwezekani kukwepa liability ya kuwa accessory kwenye jinai hii ya pembe za ndovu. Mimi ningekuwa kinana nisingefungua hii kesi aliyofungua. ita back-fire sana in the long run I think!
 
Kama kuna logic na evedence ya kutosha jibu ni ndiyo.

Sasa kama ni Wanyambara wa kweli nendeni mkasimame kidete Bungeni semeni Mbowe ni muuza unga muone litakavyo chachamalia mpaka mnywe.

Hii Topic ya kuuza unga CCM hawaitaki kabisa Bungeni ilisha wahi kwenda hapo watu walitafutana na viti kuota mbigili.

haaaahaaaa!!!!! ni kweli kabisa ukitaka wakuone kimeo sema hiyo mambo
 
Maelezo mengi lakini ukiyasoma hayana logic yoyote ya maana achilia mbali national and international legal ground such as Marine and shipping law. Are you bavicha?.

Unapoanza kuongelea kesi ni lazima argument zako ziambate na vifungu vya sheria kinyume cha hivyo ni kuendeleza longo longo za kibavicha.

Sheria hazina siasa.

Bavicha ni janga la Taifa, tuipige vita kama ukoma.
 
Back
Top Bottom