huyu jamaa harudi bungeni 2015, hata makamanda wengi waliompigania 2010 hawako nae kabisa ni mbinafsi mno, anaungwa mkono na layman tu ambao ni wafuata upepo.sasa hivi anabebwa na na think tanks za chadema kwenye mikutano yake kama lissu, lema n.k, hawa kwenye kampeni 2015 sidhani kama watakuja kumsaidia iringa watabanwa kwenye majimbo yao.
Namshauri akae na makamanda wenzake hasa Chiku Abwao aliyempigania sana 2010 waunganishe nguvu.Umoja ni Ushindi