Hawa kila siku kazi yao kuunguruma tu, sijui lini wataanza kutekeleza ahadi zao Iringa na Mbeya Mjini.
mkuu ile list ya wauza madawa ya kulevya mliyosema mnayo tayari 2010, mmeshaishughulikia??? Zile pesa za EPA zimerudi sh ngapi ni ngapi mmepeleka kutengeneza madawati?? hivi Kigoma imeshakuwa dubai?? Hongereni kwa kutengeneza ajira milioni 2 Kila mwaka, Hao wachina waliojaa hapo dar wanauza vitunguu swaumu hapo kariakoo, na hao wanaoiba umeme wa tanesco kwa viwanda uchwara ndio faida za safari 380 mlizofanya ndani ya miaka 7?? KWELI KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, HONGERENI KWA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA NA ELIMU TUNAONA BIDII ZENU. WASALIMIE WAKINA KALAMAGI NA DANIEL YONA NA MRAMBA!!
Naona wewe mkali kweli, maana umeunguruma kinoma...
Hawa kila siku kazi yao kuunguruma tu, sijui lini wataanza kutekeleza ahadi zao Iringa na Mbeya Mjini.
Hawa kila siku kazi yao kuunguruma tu, sijui lini wataanza kutekeleza ahadi zao Iringa na Mbeya Mjini.
wananchi ndio wanaingia kwa wingi dhidi ya propaganda ya magamba wakiwatisha wanannchi kwamba yale ya nyololo yatatokeaLabda kwa Mfano wewe unachukizwa na huu mkutano kwa nini sasa?
Hutaki watu wa mafinga wasikie nini?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ukiweza pitia nyololo damu ya ukombozi ya Mwangosi ilipomwagikasafari njema mkuu MUNGU akulinde ufike salama upate chakula ya ubongo!
Ndugu wadau na wapenzi wa CHADEMA napenda kuwajulsha, kuwa mda huu nko on the way 2 Mafinga kwenye mkutano, Mshehereshaji mkuu n MCHUNGAJI Msigwa, P!
Naona wewe mkali kweli, maana umeunguruma kinoma...
jibu hoja marcopolo unafiki wako huu hauna maana.