DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
One-on-one kati ya mtangazaji nguli Chief Odemba na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, Katika mahojiano hayo, Gerson Msigwa amesema moja ya kauli zake aliyowahi kuitoa hivi karibuni kuhusu Serikali ya Tanzania kujenga miradi kwa fedha zake imepotoshwa. Ameeleza kuwa hakumaanisha ilivyochorwa au kusambazwa na baadhi ya watu, akisisitiza kuwa kauli hiyo imefanyiwa spinning.
Spinning ni nini?
Kauli ya mtu inachukuliwa,Inapindishwa au inapewa mwelekeo tofauti,Kwa lengo la kuibua tafsiri inayomnufaisha anayeisambaza au kumharibia sifa aliyesema.
Spinning ni nini?
Kauli ya mtu inachukuliwa,Inapindishwa au inapewa mwelekeo tofauti,Kwa lengo la kuibua tafsiri inayomnufaisha anayeisambaza au kumharibia sifa aliyesema.