Msichana wangu wa kazi kakutwa na VVU

Chkufanya mpeleke akapewe ushauri nasaha kwawataalam then uishi naetu, kwani huwezijua Mungu anamkusudi gani nawewe, usmrudishe Mungu ndiye mpangaji wa kila jambo.
 
Na kama una vijana ndiyo wana balehe hapo kwako yaani teenagers ni heri umrudishe tu hata kama ataanza dawa.
 
Na kama una vijana ndiyo wana balehe hapo kwako yaani teenagers ni heri umrudishe tu hata kama ataanza dawa.
Ni kuwafundisha vijana wamheshimu dada wa kazi, hata hivyo akishaanza matibabu na kuwa katika indictable status, chances za maambukizi zitakuwa ni ndogo sana.
 

Nashukuru kwa ushauri wako, ila mimi nahofia usalama wa mtoto huyu mdogo sababu yeye ndiyo anacheza nae, kuna kuumia wakicheza....mtoto anaeza mng'ata, simnyanyapai hapana!!! Nimeingiwa na uoga tu, angekua ni binti mkubwa kidogo ningeweza hata kuongea nae....ila hata kama ntamrudisha nahaidi kumfanyia msaada wa kufuatilia afya yake.
 
Habari wakuu, nina miez miwil toka nimchukue huyu binti wa kazi ili anilelee mtoto wangu mdogo, ila toka kafika ni mtu ambaye homa hazimuishi kuumwa kila siku....

juzi nikampeleka marie stopes, dr akanishauri nimpime na kipimo kikubwa. Majibu yakatoka kaathirika nililia mno kwanza sikuamin!!! nilimuhurumia ndiyo kwanza ana miaka 14, hata akili zake bado za kitoto.....jana nikachukua watoto na mdada mwingine ambae nipo nae muda mrefu nikawapima wapo salama.

Nilichokifanya nilimficha majibu, nikamuambia umekutwa na typhoid tu maana alikua nayo kweli, ninawaza sana je nimrudishe kwao,? Angekua ndugu yangu ningemrudisha?
Nafikiria risk kwa watoto wangu hasa haka kadogo yaan sielewi, naomba Mungu anisaidie niweze kufanya maamuzi sahihi.
Pole sana mkuu njoo om tuwasiluane nitakypa mwongozo mzuri sana wa kinesiska huyo binti na kupona kabisa
 
Nashukuru kwa ushauri wako, ila mimi nahofia usalama wa mtoto huyu mdogo sababu yeye ndiyo anacheza nae, kuna kuumia wakicheza....mtoto anaeza mng'ata, simnyanyapai hapana!!! Nimeingiwa na uoga tu, angekua ni binti mkubwa kidogo ningeweza hata kuongea nae....ila hata kama ntamrudisha nahaidi kumfanyia msaada wa kufuatilia afya yake.
Mungu Atakuongezea zaidi,kua mdau muhimu wa maisha yake na Tunakuombea katika hilo
 
Nashukuru kwa ushauri wako, ila mimi nahofia usalama wa mtoto huyu mdogo sababu yeye ndiyo anacheza nae, kuna kuumia wakicheza....mtoto anaeza mng'ata, simnyanyapai hapana!!! Nimeingiwa na uoga tu, angekua ni binti mkubwa kidogo ningeweza hata kuongea nae....ila hata kama ntamrudisha nahaidi kumfanyia msaada wa kufuatilia afya yake.
Kama ni kweli umeamua kumsaidia huyu mtoto, unaweza kuchukua likizo ya wiki mbili ukae na mtoto wako wakati dada anaanza matibabu. Akishakuwa na undetectable status chance ya kumuambukiza mwanao itakuwa ni ndogo sana.
 
Na wewe inakuaje unakuwa na house girl wa miaka 14??
Child labor hiyo.
Nilimuambia arudi kakawa kanalia hakataki, ila hafanyi kazi maana hata hakawezi....yeye ni kucheza na mtoto sababu yupo mkubwa ndiyo anafanya shughuli za nyumba
 
Huu ugonjwa ulivyo, virus wanakuwa wanatembea kwenye damu na kushambulia kinga za asili za mwili, unapoanza kutumia ARV's wale virus wanakufa, mpaka sasa hivi ARV's hazijaweza kuuwa tu wale wadudu waliojificha kwenye thymus ambayo iko maeneo ya shingo. Unapoacha kunywa dawa kwa siku tatu wadudu hawa wanajitokeza na kuanza upya mashambulizi tena kwa kasi kubwa. Ndiyo maana unatakiwa kunywa dawa kila siku ili kuwadhibiti kwa masaa 24.
 
Umekosea kwenda Marie Stop kupima Ngoma, hao ni ma agent wa kupromote Existence ya HIV, survival yao inategemea biashara ya kits zinazohusiana na huo "" ugonjwa"" kama condoms nk. Hivyo ukienda kupima kwao ukiwa na Maralia au typhoid hakika kipimo chao hakitakukosa ukiwa +ve.
Huyo binti hana ngoma, ondoa hofu, shida yake ni lishe duni aliyonayo inayompelekea kupata maradhi mengi, kula sana matunda, mboga mboga nyingi na vyakula vingine kama mayai nk atakuwa vizuri sana, na magonjwa yatamkimbia.
Ondoa kichwani hiyo concept kwa ana HIV na usije jaribu kumwanzishia hizo ARV therapy, ndo mwanzo wa kumuua haraka, maana akianza tu lazima atapungukiwa na damu, ataanza kupauka nk
 
Kampitia, umefurahi??? Mijitu mingine sijui ipoje...vitu vya huzuni unaongea upumbavu
huyuuu alikuuliza tyu hivi maana sisi wavulana
Tunampitiaa yeyoteee mbele yetuuu
kwahyo naomba vipimo vifuatayoo viwe vya shemejiii
 
Back
Top Bottom