Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,354
- 23,255
- Thread starter
- #241
Kwa meseji yako hii nimeamini JF kuna vichaa, nimuuze kwa wanaume?? yesu wangu!! Umenisikitisha anyway ni mawazo yako sikupingi!! Ubarikiwe!!Wewe unatakiwa ufunguliwe mashitaka ya kumfanyisha kazi mtoto mdogo wakati anatakiwa awe shule pili unatakiwa ushitakiwe kwa kumfanya kitega uchumi kwa kumuuza kwa wanaume mpaka amepata ugonjwa, serikali na wanaoshughulika na haki za watoto kuna mteja wenu hapa