Msichana wangu ana nywele kifuani

Msichana wangu ana nywele kifuani

Mkeo ana homoni tu za kiume,sio tatizo sanaa
 
Me nawapenda haoo!! Naskia wanakuwa na bahati ya kuwa na hella sana,
Hawakaukiwi hovyo.

Hata mie nimesikia aisee. Nimempata mmoja juzi nataka nimnganganie nione zali lake....halaf mbona ni mtam sana aisee. Nitakuja kuwasimulia mazali nitayokuwa nayapata moja baada ya jingine.
 
Back
Top Bottom