Msichana wa M-PESA anatakiwa

Msichana wa M-PESA anatakiwa

Marashi

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2018
Posts
2,876
Reaction score
4,527
Karibu ufanye kazi kwenye duka la wakala.
Elimu si chini ya form IV na uwe unaishi Dar es Salaam, Ubungo. Masaa ya kazi: saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
Mshahara utategemeana na sifa za mwombaji, na si zaidi ya laki moja. Karibu PM, taja sifa zako, mahali ulipo, picha moja na weka mawasiliano yako.

Hakuna interview. Only successful candidate will be contacted.
 
Karibu ufanye kazi kwenye duka la wakala.
Elimu si chini ya form IV na uwe unaishi Dar es Salaam, Ubungo. Masaa ya kazi: saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
Mshahara utategemeana na sifa za mwombaji, na si zaidi ya laki moja. Karibu PM, taja sifa zako, mahali ulipo, picha moja na weka mawasiliano yako.

Hakuna interview. Only successful candidate will be contacted.
Picha ya passport size au ya mwili mzima, kama ni ya mwili mzima hiyo kazi unayotangaza ni ya M-PESA kweli au kuna zaidi?
 
Picha ya passport size au ya mwili mzima, kama ni ya mwili mzima hiyo kazi unayotangaza ni ya M-PESA kweli au kuna zaidi?
Iwe passport iwe wall paper sawa tu, ili mradi muombaji aonekane.
 
Karibu ufanye kazi kwenye duka la wakala.
Elimu si chini ya form IV na uwe unaishi Dar es Salaam, Ubungo. Masaa ya kazi: saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
Mshahara utategemeana na sifa za mwombaji, na si zaidi ya laki moja. Karibu PM, taja sifa zako, mahali ulipo, picha moja na weka mawasiliano yako.

Hakuna interview. Only successful candidate will be contacted.

ni pm plz
 
Unamlipa mshahara mdogo afu kuna uwezekano na wewe ukitaka vitu extra kutoka kwake
 
Ni
Karibu ufanye kazi kwenye duka la wakala.
Elimu si chini ya form IV na uwe unaishi Dar es Salaam, Ubungo. Masaa ya kazi: saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
Mshahara utategemeana na sifa za mwombaji, na si zaidi ya laki moja. Karibu PM, taja sifa zako, mahali ulipo, picha moja na weka mawasiliano yako.

Hakuna interview. Only successful candidate will be contacted.
Lazima awe msichana?
 
Back
Top Bottom