Marashi
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 2,876
- 4,527
Karibu ufanye kazi kwenye duka la wakala.
Elimu si chini ya form IV na uwe unaishi Dar es Salaam, Ubungo. Masaa ya kazi: saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
Mshahara utategemeana na sifa za mwombaji, na si zaidi ya laki moja. Karibu PM, taja sifa zako, mahali ulipo, picha moja na weka mawasiliano yako.
Hakuna interview. Only successful candidate will be contacted.
Elimu si chini ya form IV na uwe unaishi Dar es Salaam, Ubungo. Masaa ya kazi: saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
Mshahara utategemeana na sifa za mwombaji, na si zaidi ya laki moja. Karibu PM, taja sifa zako, mahali ulipo, picha moja na weka mawasiliano yako.
Hakuna interview. Only successful candidate will be contacted.