Kama hutaki wewe basi nyamaza, huna haja ya kuanza kuonyesha negative attitude. Wapo wanaotaka. Ubongo mwingine bana!nyie sio wale mkishapata wasichana wa kazi mnawanyanyasa kama wao hawakuzaliwa kama nyie na pia mnawaona kama hawana thamani na pia hawana lolote??
Kazi kubwa itakuwa ni kufanya usafi wa nyumba (sio nguo), kuandaa chakula na kushinda na mtoto. Salary sitaiweka hapa, ila ofa ni pamoja na mafunzo ya computer MS applications na kilatini hapo hapo nyumbani (kama atahitaji).Job description, please? Baby care, taking babies to school, house care, etc.