....mimi ni kijana(ME) umri 23 years, nina elimu ya chuo kikuu. Natafuta rafiki wa kike ili tushirikiane katika mambo mbalimbali na hata baadae kuoana kama ikiwezekana.....umri uwe kati ya 18yrs-23yrs, sichagui dini, kabila, rangi wala elimu.....jambo muhimu awe ana MALENGO na mwenye MSIMAMO ili kwa pamoja tuijenge nyumba yetu..................
NB: kama upo serious ni-PM....kama utani pita pembeni please....