NimekuPM mkuuMsichana mwenye ujuzi wa kutosha katika kutumia Computer anatakiwa,.... hakuna elimu zaidi ya kujua Computer .. anayeishi DSM maeneo ya Ubungo, External, Mabibo, mwenge atafikiriwa zaidi .. mwenye interest PM
Msichana mwenye ujuzi wa kutosha katika kutumia Computer anatakiwa,.... hakuna elimu zaidi ya kujua Computer .. anayeishi DSM maeneo ya Ubungo, External, Mabibo, mwenge atafikiriwa zaidi .. mwenye interest PM
Msg yangu inajieleza fanya Private message (PM) tuwasiliane .. fanya sasa hiviMimi najua na nipo mabibo.Mawasiliano
... Kwa muelewa ataelewa.. inasaidia sana kufanya kazi mahali ambapo hupati tatizo la usafiri ni tofauti na mtu anayekaa Buza kufanya kazi Kawe..mshahara utaishia kwenye daladala ... kuamka saa 10 alfajiri kurudi saa mbaya ndo maana tunataka wa maeneo jirani na ofisisasa mahali anapoishi mtu panahusiana vipi na hiyo ajira au kazini atakuwa anatoka saa kumi za usiku masharti mengine sio bhana we sema anaeishi dar inatosha.
Ubaguzi kweupeeeee!na usipompata utasema unahitaji mlemavu wa kiume mjuzi wa komputa teh,teh.
kazi ni option ya mtu kama ameamua kufanya kazi hatajali umbali unaousema wewe kwa sababu anatambua shida atakazokumbana nazo kwanini umkatishe mtu tamaa,kuna watu wanaishi mlandizi,kibaha,bagamoyo wanafanya kazi hapa dar na wao watasemaje.... Kwa muelewa ataelewa.. inasaidia sana kufanya kazi mahali ambapo hupati tatizo la usafiri ni tofauti na mtu anayekaa Buza kufanya kazi Kawe..mshahara utaishia kwenye daladala ... kuamka saa 10 alfajiri kurudi saa mbaya ndo maana tunataka wa maeneo jirani na ofisi
me najua computer na namba yangu ni 0757 851539,naishi tababa relini