Msichana anayejua Computer anatakiwa

Msichana anayejua Computer anatakiwa

sasa mahali anapoishi mtu panahusiana vipi na hiyo ajira au kazini atakuwa anatoka saa kumi za usiku masharti mengine sio bhana we sema anaeishi dar inatosha.
Asnam naomba uniulizie kuhusu hiyo computer je ni kuijua kuitamka mdomoni? Au awe amepitia mafunzo ya intro ama alie soma microsoft or anahitaji wale wana I.T maana wana I.T ndo wanaijua computer ndani nje.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom