Msichana anapokuambia anakupenda

Msichana anapokuambia anakupenda

muudy

Senior Member
Joined
May 25, 2013
Posts
156
Reaction score
22
Mambo vipi wana Jf wenzangu?

Karibuni tujadili hii mada maan hadi sasa nachanganyikiwa kabisa sijui ndio napendwa au zuga tu! Ok turudi kwenye mada. Just imagine wakati nikiwa na mishemishe zangu ghafla kuna msichana wa mtaani na namfahamu pia ananiita nilipomsogelea tu bila ata ya kumug'unya mdomo ananiambia NAKUPENDA na mimi simply nikajibu "asante" ikumbukwe hapo sikuona sign ya mapenzi wala tabasam.

Msichana wa pili na yeye ni wa mtaani tu siku moja nlimshtukia ananiangalia sana na vile vitabasam vya mbaali ikabidi nimuulize kulikoni simply akanijibu NAKUPENDA TU! Msichana wa tatu yeye nimekutana nae chuoni yaani huyu yeye ata sijawai kuwa na story nae kabisa baada ya salam tu ya kawaida ila kuna siku nmepita karibu yake baada ya kumsalimia tu akasema "MIMI NAKUPENDA " nikamjibu tu "asante" na ikumbukwe sijaona tabasamu lolote hapo wala sijawahi ona zile sign kamfacial expresion Ma expert wa mas-ala ya saikolojia ya mapezi mnakaribishwa!

Ahsanteni muwe na asubuhi njema!
 
Uyo wa chooni hapana mzuka wake ni nouma ________ Well yawezekana wanahis huna madhara
 
Bado tu imagine au ni reality? Kwasababu umeanza na neno hebu Imagine
 
Dogo soma kwanza kama anayekupenda nae mjibu unampenda. Usiwaze mapenzi tu. Kama huamini kati ya hao jaribu kutongoza uone na unaweza kushangaa unatoswa vilevile
 
Sasa kwanini usingewauliza wenyewe wakupe majibu hapohapo kabla ya kutuuliza sisi?
 
baada ya hao wawili wa mtaani kukuambia wanakupenda nini kilifuata?
 
Wanaume rijali wanazidi kupungua kwa kasi ya ajabu!
 
basi ndo mwenyewe wamekuvimbisha boooonge la t.ako aaaaah samahani boooonge la kchwaaaa kukuambia wanakupenda et..?
 
Kama kuna girl humu aniambie basi ananipenda
 
Kwa nini hio nakupenda umeiandika kwa herufi KUBWA?
 
Back
Top Bottom