Mambo vipi wana Jf wenzangu?
Karibuni tujadili hii mada maan hadi sasa nachanganyikiwa kabisa sijui ndio napendwa au zuga tu! Ok turudi kwenye mada. Just imagine wakati nikiwa na mishemishe zangu ghafla kuna msichana wa mtaani na namfahamu pia ananiita nilipomsogelea tu bila ata ya kumug'unya mdomo ananiambia NAKUPENDA na mimi simply nikajibu "asante" ikumbukwe hapo sikuona sign ya mapenzi wala tabasam.
Msichana wa pili na yeye ni wa mtaani tu siku moja nlimshtukia ananiangalia sana na vile vitabasam vya mbaali ikabidi nimuulize kulikoni simply akanijibu NAKUPENDA TU! Msichana wa tatu yeye nimekutana nae chuoni yaani huyu yeye ata sijawai kuwa na story nae kabisa baada ya salam tu ya kawaida ila kuna siku nmepita karibu yake baada ya kumsalimia tu akasema "MIMI NAKUPENDA " nikamjibu tu "asante" na ikumbukwe sijaona tabasamu lolote hapo wala sijawahi ona zile sign kamfacial expresion Ma expert wa mas-ala ya saikolojia ya mapezi mnakaribishwa!
Ahsanteni muwe na asubuhi njema!
Karibuni tujadili hii mada maan hadi sasa nachanganyikiwa kabisa sijui ndio napendwa au zuga tu! Ok turudi kwenye mada. Just imagine wakati nikiwa na mishemishe zangu ghafla kuna msichana wa mtaani na namfahamu pia ananiita nilipomsogelea tu bila ata ya kumug'unya mdomo ananiambia NAKUPENDA na mimi simply nikajibu "asante" ikumbukwe hapo sikuona sign ya mapenzi wala tabasam.
Msichana wa pili na yeye ni wa mtaani tu siku moja nlimshtukia ananiangalia sana na vile vitabasam vya mbaali ikabidi nimuulize kulikoni simply akanijibu NAKUPENDA TU! Msichana wa tatu yeye nimekutana nae chuoni yaani huyu yeye ata sijawai kuwa na story nae kabisa baada ya salam tu ya kawaida ila kuna siku nmepita karibu yake baada ya kumsalimia tu akasema "MIMI NAKUPENDA " nikamjibu tu "asante" na ikumbukwe sijaona tabasamu lolote hapo wala sijawahi ona zile sign kamfacial expresion Ma expert wa mas-ala ya saikolojia ya mapezi mnakaribishwa!
Ahsanteni muwe na asubuhi njema!