elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,747
Ngumu kusoma, kwani unatumia simu ya mchina??
Story nzuri ila unaandika ki'facebook zaidi.
umenitisha sana..
Huyu dada anaupendo wa kweli.
dah samahan post nime post via cm ya nokia x3 kuweka paragraph ngumu coz c o smart 4n xo ingenichukua mda. Hata mate alikuwa anagoma xa nikawa najiuliza au ananionea knyaa kumbe mwenzangu ana niokoa hvo. Kupma nshapma mara 2 hata mwez 1 uliopta nimepma ila wala ckupma kwa hofu yake kwakuwa hatukuwah fanya jambo lolote la kuhatarisha
...........Nadhan mtakumbuka mwaka 2010 vyuo vkuu vlifunga likzo ndefu ili wanafunz wake waweze kushrik uchaguz.....................
Sasa siku nliyo kuja kuchoka ni siku alipo niambia kaolewa ana watoto 2 mapacha wanaish m0ro mumewe ana asili ya oman na anafanya kaz dubai...............
TOKA 2010 HADI 2011 INAWEZEKANA MWANAMKE KUJIFUNGUA WATOTO WAWILI KATIKA NORMAL CIRCUMSTANCES???AU NI YAKUFIKIRIKA ZAIDI...