Msiba mkubwa: Adam Lusekelo Mwakang'ata

MzeePunch

JF-Expert Member
Jun 8, 2009
1,412
203
Taarifa za kusikitisha zilizonifikia muda mfupi uliopita zinasema mwandishi wa habari maarufu ADAM LUSEKELO amefariki dunia leo alfajiri kwenye Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam. Taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake jirani na lililokuwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Ubungo.

Mmoja wa waombolezaji aliyepo msibani, ambaye ni jirani yake, amethibitisha taarifa hizi. Wakati wa uhai wake Lusekelo alifahamika zaidi kwa aina yake ya uandishi wa 'satire' kwenye gazeti la SUNDAY NEWS akiwa na safu maarufu ya 'With A Light Touch' na miaka ya hivi karibuni alikuwa akiandika safu nyingine iliyoitwa "EYE SPY" kwenye gazeti la THISDAY.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.


DAILY NEWS Reporter, 1st April 2011

SEASONED and veteran journalist, Adam Lusekelo (54) passed away while being rushed to Muhimbili National Hospital (MNH) on Thursday night, his wife Scolastica Lusekelo, said.

Ms Lusekelo said the deceased's health deteriorated on Thursday night when relatives rushed him to MNH.


"He didn't even reach the hospital, he breathed his last on the way at around 11pm," Ms Lusekelo said. The 'Sunday News' columnist has been battling diabetes for a long time and was surviving on medication.


"Oh, no! We have lost a 'Sunday News' readers' favourite," lamented the newspaper's Editor, Ichikaeli Maro upon receiving news of Mr Lusekelo's death.


His column, a unique blend of writing serious issues of national importance with a soft touch, won many hearts and souls.


"My husband will miss him badly, he was his favourite columnist," said Joyce Sabuni, Tanzania Standard Newspapers employee in the circulation section.


TSN Acting Managing Editor, Mkumbwa Ally also mourned the death of one of journalism's most gifted writers. Burial arrangements are being made at his home at Ubungo Maziwa, but the body is likely to be transported to his home region of Rungwe in Mbeya, his wife said.


The late Lusekelo is survived by a wife and three children, two daughters and a son. He worked with TSN briefly in the 1980s before joining BBC as a correspondent based in Dar es Salaam.
 
Taarifa za kusikitisha zilizonifikia muda mfupi uliopita zinasema mwandishi wa habari maarufu ADAM LUSEKELO amefariki dunia leo alfajiri kwenye Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam. Taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake jirani na lililokuwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Ubungo.
Mmoja wa waombolezaji aliyepo msibani, ambaye ni jirani yake, amethibitisha taarifa hizi. Wakati wa uhai wake Lusekelo alifahamika zaidi kwa aina yake ya uandishi wa 'satire' kwenye gazeti la SUNDAY NEWS akiwa na safu maarufu ya 'With A Light Touch' na miaka ya hivi karibuni alikuwa akiandika safu nyingine iliyoitwa "EYE SPY" kwenye gazeti la THISDAY.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina
 
another hero and an icon ametangulia

RIP mkuu, we will miss you

:rip: Adam

pole sana Amby
 
Taarifa za kusikitisha zilizonifikia muda mfupi uliopita zinasema mwandishi wa habari maarufu ADAM LUSEKELO amefariki dunia leo alfajiri kwenye Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam. Taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake jirani na lililokuwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Ubungo.
Mmoja wa waombolezaji aliyepo msibani, ambaye ni jirani yake, amethibitisha taarifa hizi. Wakati wa uhai wake Lusekelo alifahamika zaidi kwa aina yake ya uandishi wa 'satire' kwenye gazeti la SUNDAY NEWS akiwa na safu maarufu ya 'With A Light Touch' na miaka ya hivi karibuni alikuwa akiandika safu nyingine iliyoitwa "EYE SPY" kwenye gazeti la THISDAY.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
Poleni saana wanafamilia ndugu na marafiki kwa msiba huu mzito!!!!!!
Bwn ametoa na Bwn ametwaa jina lake lihimidiwe!!!!!!!!!
Pole saana kwa mkewe na watoto wake marehemu, Bwn awape faraja na nguvu ya uvumilivu katika kipindi hiki cha msiba!!!!!
 
Poleni saana wanafamilia ndugu na marafiki kwa msiba huu mzito!!!!!!
Bwn ametoa na Bwn ametwaa jina lake lihimidiwe!!!!!!!!!
Pole saana kwa mkewe na watoto wake marehemu, Bwn awape faraja na nguvu ya uvumilivu katika kipindi hiki cha msiba!!!!!

Hapo pekundu, unajuaje kama mkewe bado yupo hai.

Vipi amefariki na ugonjwa gani?..kiswahili kigumu sana, na maanisha nini sababu ya kifo chake? na je kuna lolote la kujifunza kutokana na sababu ya kifo chake.

RIP Adam
 
Taarifa za kusikitisha zilizonifikia muda mfupi uliopita zinasema mwandishi wa habari maarufu ADAM LUSEKELO amefariki dunia leo alfajiri kwenye Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam. Taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake jirani na lililokuwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Ubungo.
Mmoja wa waombolezaji aliyepo msibani, ambaye ni jirani yake, amethibitisha taarifa hizi. Wakati wa uhai wake Lusekelo alifahamika zaidi kwa aina yake ya uandishi wa 'satire' kwenye gazeti la SUNDAY NEWS akiwa na safu maarufu ya 'With A Light Touch' na miaka ya hivi karibuni alikuwa akiandika safu nyingine iliyoitwa "EYE SPY" kwenye gazeti la THISDAY.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.

Poleni sana, ni mapenzi ya Mungu.
 
Huu udongo bac , kijana alikuwa bright huyu...
Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi!
 
So sad..; huyu bwana nilikuwa napenda sana makala zake za "With a Light Touch" ambako alikuwa akiwachana watu live kwa namna ya kuwasanifu sana...; he was really fun
 
Taarifa za kusikitisha zilizonifikia muda mfupi uliopita zinasema mwandishi wa habari maarufu ADAM LUSEKELO amefariki dunia leo alfajiri kwenye Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam. Taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake jirani na lililokuwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Ubungo.
Mmoja wa waombolezaji aliyepo msibani, ambaye ni jirani yake, amethibitisha taarifa hizi. Wakati wa uhai wake Lusekelo alifahamika zaidi kwa aina yake ya uandishi wa 'satire' kwenye gazeti la SUNDAY NEWS akiwa na safu maarufu ya 'With A Light Touch' na miaka ya hivi karibuni alikuwa akiandika safu nyingine iliyoitwa "EYE SPY" kwenye gazeti la THISDAY.
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.


RIP comrade Adam Lusekelo.
 
Kumbuka e mwanadamu kuwa u mavumbi na mavumbini utarudi! May his soul RIP.
 
RIP Adam,
Adam%2BLusekelo.jpg



IMG_0063.JPG
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom