Wanajamvi,kwa wale mnaifahamu familia ya aliyekuwa waziri wa elimu Mh Mungai,wamepata msiba wa mdogo wake aitwae Michael. Tatizo ni ugonjwa wa moyo. Poleni familia ya Mh. Mungai.
Mimi nilisoma enzi Tabitha Siwale ndio Waziri wa Elimu.
Hivi huyo Mungai ndio aliyepanguapangua mitaala ya shule za msingi na kufutilia mbali michezo mashuleni?
RIP MICHAEL.m