Mimi sijali ishu ya madawa ya Kulevya hapa. Nachojali ni kalio la masogange tu! Yani kalio hili litaishia nyuma ya nondo mda mrefu sana hadi atakapomaliza kifungo chake litakuwa limesinyaa na nilikua kwenye process la kulimega yani angechelewa kidogo tu kwenda sauz ningembwenga. Wana jf wezangu magreat thinker wezangu naombeni msaada kwa ili mwenzenu nateseka. Nyambaff maafisa uwanja WA ndege olivar thambo sauz viherehere
Inaonyesha hao akinamama walifanywa kafara ili mzigo upite kiulaini. Na pengine kawasakizia yeye maana ni mzoefu SAHapa ishu ya mwakyembe kuingilia swala la madawa ni strategy ya kuwapumbaza watu na kutufanya tuone tunafika kwenye suluhisho la hili tatizo. Na kwa reputation yake wengi wanaamin anapambana kweli bt kiukwel kawekewa limit ya ku deal na hii ishu.
Tunaweza kujiuliza mamlaka ya kuwafukuza askari kaitoa wap?au kuwabadilishia post tu hao walinzi wa airpot anaweza vip? Hajaagizwa kwel?
kingine habari inadai kina masogange walikuwa na mabegi 9, well but airpot SA walikamatwa na begi 6 so 3 hazikukamatwa! Packaging ni kwamba walikuwa na kilo 60 za madawa kama mzgo wa mkononi kwa kila mmoja na kilo 90 kama mzgo wa zaida. So kama walikamatwa na begi 6 manake walikuwa na kilo 60 na hizo beg 3 ndo zilikuwa na hizo kilo 90 kama mzigo wa ziada.
kama huyo mshkaji alikimbia na beg 3 akawatoa mhanga kina masogange ili atembee na huo mzigo mwingne of which the plan work as jamaa hakukamatwa na hizo beg 3 hazikuonekana huko SA.
Na huyo mshkaji ndo mwenye huo mzigo au yeye alikuwa ana monitor tu usafirishaji? Manake hilo halijawekwa waz na mh. Wazir.
Mkuu mkorosho kigoli.....watu wanakula bata siku nzima na hela wanayo mingi.....mpaka unajiuliza hizo ramani zao kachora nani....a/ kumbe dah....mcheki mwakyembe utajua watu wanavyopiga deal kijinga...
Kimenuka...ningawa wengine msio na busara mnasema hizi ni zuga!!Tatzo la wabongo mna majibu yenu ,sasa chakufanya toa mawazo hapa sema fulani naye......km Rizmoko..n.k
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Police wanafanya nini mpaka mtu kama Waziri awatangaze wauza unga? Hivi vyombo vya ulinzi hamuoni aibu? Ninyi Polisi na Usalama wa Taifa mko mko tu? Ninyi TAKUKURU mnafanya nini? Watu wa Uhamiaji? Bandari na viwanja vya ndege... are you serious na hatma ya nchi? Shame on you....
mjini hapa watu wanaendesha magari mazuri...wanachezea hela...unashangaa watu wanapata wapi kumbe ...dah
Uko sahihi maana waziri wa mambo ya ndani, waziri wa Mambo ya nje, na waziri wa nchi ofisi ya rais utawala bora, pia waziri wa ulinzi wako kimyaNaona kama mwakyembe ameingia vitani bila jeshi hivyo siyo rahisi kupigana vita mwenyewe
Nadhani wanausalama wanatakiwa wakufuatilie kwa karibu...huo uhusiano wa karibu kiasi hicho na mtuhumiwa...kiasi cha kufikia hatua hiyo uliyoeleza...kuna uwezekano...huko kwenye genge la wauza mihadarati... Nyambaff maafisa uwanja WA ndege olivar thambo sauz viherehere
Inaonyesha hao akinamama walifanywa kafara ili mzigo upite kiulaini. Na pengine kawasakizia yeye maana ni mzoefu SA
ni kweli na ndiyo maana wanasema , rahisi ni ghali daima tuishi kama sisi tu . na kumuomba munguhii kitu nillikuwaga najiuliza sana hivi mimi nina nini naona vijana wa umri kama wangu wanasukuma mikoko ya bei mbaya mimi nagombea daladala kila siku kila nikijitahidi kufanya kazi kwa bidii na kujibana sana bado nakuwa napiga hatua kwa tabu sana lakini vijana wenzangu kila kukicha na mikoko mipya kumbe ndivyo walivyo
ni kweli na ndiyo maana wanasema , rahisi ni ghali daima tuishi kama sisi tu . na kumuomba mungu