Mwanaume mwenye title kubwa kielimu lakini haijui lugha iliyompatia hiyo elimu, what a shameYule aliyeenda mlimani city, kesho akae kwa kutulia kwenye kiti na kufurahia show ya mwanaume
Kikatiba vigezo na mashart ya kuwa rais amekidhi au hajakidhi.?Mwanaume mwenye title kubwa kielimu lakini haijui lugha iliyompatia hiyo elimu, what a shame
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiria trh 28 ifike ili niende nikamchinjilie mbali kwenye lile box
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kusema ukweli Magu anatia aibu Sana yaani lugha uliyoisoma kuanzia drs la tatu mpaka unapata shahada ya uzamivu bado hiyo lugha huwezi ongea ,ni tatizo ni aibu sana.Mwanaume mwenye title kubwa kielimu lakini haijui lugha iliyompatia hiyo elimu, what a shame
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule mwamba Nina mashaka inawezekana hata kusoma atakuwa hajuiMwanaume mwenye title kubwa kielimu lakini haijui lugha iliyompatia hiyo elimu, what a shame
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa itakuwaje na elimu ndio hii hiiYule mwamba Nina mashaka inawezekana hata kusoma atakuwa hajui
Tatizo ni kubwa sana bashweeLakini kusema ukweli Magu anatia aibu Sana yaani lugha uliyoisoma kuanzia drs la tatu mpaka unapata shahada ya uzamivu bado hiyo lugha huwezi ongea ,ni tatizo ni aibu sana.
Lakini kusema ukweli Magu anatia aibu Sana yaani lugha uliyoisoma kuanzia drs la tatu mpaka unapata shahada ya uzamivu bado hiyo lugha huwezi ongea ,ni tatizo ni aibu sana.