Mshtuko Mkubwa: Mwanafunzi wa Darasa la Nne Akamatwa kwa Kumuua Mwanafunzi wa Darasa la kwanza

Kwa kifupi kilichomuua mtoto Martha sio huyo mwenzake bali ni dawa alizopewa! Vifo vingi sana zaidi ya 85% husababishwa na matibabu ya ugonjwa yanayoendelea, huu ndo ukweli.
Bahati mbaya wajinga kwenye jamii ni wengi na hawapo tayari kusikia haya! Utasikia wananchi wanalalamika kwa kukosa huduma za afya, yaani wajengewe zahanati huko vijijini, wakati dawa halisi zipo kwenye vyakula wanavokula, vinywaji na mazingira bora.
Wao wanadhani panadol ndo dawa ya kumtibu mtoto, kumbe asingepewa kabisa hizo dawa bila shaka angepona with time.
Poleni wanafamilia, ila acheni ujinga
Siku ukiwa na jina utaelewa kwamba unatudanganya hapa

Kwamba kwA tukio kama hili mtoto hakutakiwa kupewa Panadol angepewa chakula gani/kinywaji gani kutibu hii hali
 
Kuna dalili ya ukosefu wa fedha za kumpeleka mgonjwa hospital. Nmesoma dodoma n moja ya mkoa wenye maskini weng muno...na kumbukeni hii ni ngome ya SSM..Mama wa mtuhumiwa alitoa JERO indicator of excessive poverty..
Wala si ukosefu wa fedha, inawezekani ni kuchukulia mambo simple simple tu!

Unatoa shilingi miatano wakati unauza pombe ya kienyeji kopo shilingi miatano?

Hapo walimu wamepona!...ingekuwa aliwaachanisha na kama mlezi akawachapa viboko viwili viwili kwa sababu wamepigana Leo habari ingekuwa Mwalimu aua mwanafunzi kwa viboko Nzuguni!

Hahahaaaa maisha haya bwana!
 
Kulikua na umuhimu wa kutufahamisha kwamba mama wa mtoto muuaji anauza pombe chafu au kwamba mumewe naye hakurudi usiku. Hii Ni njia moja ya kuharibu CV ya hiyo familia.
Mama anauza pombe
Baba akienda kulewa harudi nyumbani kwa hiyo
Mtoto lazima awe na tabia mbaya
 
Siku ukiwa na jina utaelewa kwamba unatudanganya hapa

Kwamba kwA tukio kama hili mtoto alitakiwa kupewa Panadol angepewa chakula gani/kinywaji gani kutibu hii hali
Sawa mimi nadanganya ila serikali ndo huwaambia ukweli!
Katika wajinga ninaowazungumzia kwenye hilo bango langu nawe umo, nashukuru umejitokeza mwenyewe Zipompele papapa!!!
 
Kwa kifupi kilichomuua mtoto Martha sio huyo mwenzake bali ni dawa alizopewa! Vifo vingi sana zaidi ya 85% husababishwa na matibabu ya ugonjwa yanayoendelea, huu ndo ukweli.
Bahati mbaya wajinga kwenye jamii ni wengi na hawapo tayari kusikia haya! Utasikia wananchi wanalalamika kwa kukosa huduma za afya, yaani wajengewe zahanati huko vijijini, wakati dawa halisi zipo kwenye vyakula wanavokula, vinywaji na mazingira bora.
Wao wanadhani panadol ndo dawa ya kumtibu mtoto, kumbe asingepewa kabisa hizo dawa bila shaka angepona with time.
Poleni wanafamilia, ila acheni ujinga
Kwahiyo Panadol imemuua? Maliza hiyo k vant uende nyumbn mkuu.
 
WaTz ni lini tutathamini uhai wa mtu? Hospitali ilikuwa ni sehemu ya kwanza huyu mtoto kupelekwa, lakini sivyo ilivyotokea. Watu wamechukua siku 2, kutaarifiana tu kuwa mtoto anaumwa, mara wazazi wa mtuhumiwa, sijui balozi, mwalimu mkuu, polisi na mgambo, hivi ndio muhimu Kwa WaTz wakati mtoto anaugumia mateso na maumivu mpaka kifo!
 
Ni dhahiri shairi hizo familia mbili hazina maelewano na ikapelekea hata watoto kutokua na maelewano, sio ajabu Joyce amekua na mazoea ya Kumpiga/Kum'bully Martha (Age Gap btn them),

Bibi kushtaki kwa serikali ya kijiji badala ya kumpeleka hospital ni muendelezo wa kutokuelewana kwao,

Mama Joy kutoa shilingi mia tano ya dawa bado ni kiburi cha kutokuelewana kwao, wauza Pombe za kienyeji hua wana madharau na midomo michafu sana,

Babu kukataa mwili usichunguzwe ni hasira juu ya kifo cha mjukuu wake, ukizingatia chanzo ni kwa mahasimu wake, pengine kuna maneno ya kashfa na dharau yalitolewa kipindi wanasikiliza kesi, kwa hiyo Babu kaona aidha amuachie Mungu au anajipanga kwa Kisasi,


Rest Easy Mtoto Martha,
Pole pia kwa Mtoto Joyce, unaenda kuishi maisha mabaya sana ukijua kua uliwahi kusababisha kifo cha mtoto mwenzio, hiyo hatia sijui kama utaweza kuishi nayo, nakuhurumia.
 
Ni dhahiri shairi hizo familia mbili hazina maelewano na ikapelekea hata watoto kutokua na maelewano, sio ajabu Joyce amekua na mazoea ya Kumpiga/Kum'bully Martha (Age Gap btn them),

Bibi kushtaki kwa serikali ya kijiji badala ya kumpeleka hospital ni muendelezo wa kutokuelewana kwao,

Mama Joy kutoa shilingi mia tano ya dawa bado ni kiburi cha kutokuelewana kwao, wauza Pombe za kienyeji hua wana madharau na midomo michafu sana,

Babu kukataa mwili usichunguzwe ni hasira juu ya kifo cha mjukuu wake, ukizingatia chanzo ni kwa mahasimu wake, pengine kuna maneno ya kashfa na dharau yalitolewa kipindi wanasikiliza kesi, kwa hiyo Babu kaona aidha amuachie Mungu au anajipanga kwa Kisasi,


Rest Easy Mtoto Martha,
Pole pia kwa Mtoto Joyce, unaenda kuishi maisha mabaya sana ukijua kua uliwahi kusababisha kifo cha mtoto mwenzio, hiyo hatia sijui kama utaweza kuishi nayo, nakuhurumia.
Hiyo hatia itamtesa sana. Hasa muda ule akifunguka akili na kulitathmini hili alilofanya.
 
Back
Top Bottom