buhabi
Member
- Dec 14, 2013
- 23
- 13
Wakuu salaam!
Hold up, nakuletea habari ambazo sio ramli ni siasa tupu. Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni.
Within few days to come mshtuko mkubwa sana n pengine ndio utakao amua matokeo hasa ya urais unakuja.
Wenye mihemko ya kisiasa na wasio na political maturity ni vema wakajiandaa ki psychology. Kama unakipenda chama utabaki salama lakini kama unampenda mwanasiasa tarajia stroke.
Soon coming nasisitiza hio ndio siasa ambayo wengi wetu tulijenga misingi kwa watu na sio sera za vyama.
Hold up, nakuletea habari ambazo sio ramli ni siasa tupu. Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni.
Within few days to come mshtuko mkubwa sana n pengine ndio utakao amua matokeo hasa ya urais unakuja.
Wenye mihemko ya kisiasa na wasio na political maturity ni vema wakajiandaa ki psychology. Kama unakipenda chama utabaki salama lakini kama unampenda mwanasiasa tarajia stroke.
Soon coming nasisitiza hio ndio siasa ambayo wengi wetu tulijenga misingi kwa watu na sio sera za vyama.