Mshindi Oktoba 25 (mathematical analysis)

Ni ulofa na upumbavu kuamini kuwa eti 80% ya vijana watamchagua lowasa na 20% tu ndio watamchagua magufuli. Huu ni ulofa uliopitiliza. Wazalendo wote bila kujali umri wao watamchagua magufuli. Lowasa kura zake ni kitoka kwa wanywa viroba.
 
Hongera kwa mahesabu yako kwani wengine mwalimu wa hesabu akiingia tulikuwa tunapitia dirishani.
 
Hayo mahesabu yangeonesha ushindi kwa Magufuli basi ungeonekana ushapewa buku7 na wangeanza kuchambua mahesabu yako na kwa kuyapinga,ila hapo umefurahisha hivyo hawaitaji hata kuchambua mahesabu yako.

nikweli kwani kwenye 50 above sifkiri kama kinywaji kama atapata zaidi ya 21%
 
Ninachoweza kukubaliana na mleta uzi ni hiyo tofauti ya asilimia. Kiukweli kabisa hakuna namna yeyote halali Dr Magufuli/Hon Lowassa atamzidi mwenzio kwa zaidi ya asilimia5, uwezekano huo haupi na Common thinking inakataa. Hivyo ushindi wa Rais ajae hautakuwa wa kishindo kwa namna yoyote iwayo. Ni 1-5% tu difference margin!
 

huyu inawezekana yuko usingizini na ndoto yake yakinyumenyume hali halisi nikuwa hao waliokuwa waanzilishi na waliokuwa na maganji mbali mbali wameitosa magamba itakuwa watoto wa wa nyonge nini kitawafanya wabakie katika utmwa huo

AAMKA! UONE UPEPO UMEGEUKIA WP.
 

Hata mm nimeliona hlo na nakubaliana na ww 100%
 

Umejaribu kidogo ila ukakasi unakuja kwenye 80% ya wenye umri 18-35 kafanye research upya
 
Vitu kama hivi ulaya unapewa PhD sema bongo wanabana. Unastaili hii analysis itazidi kidogo mpka asilimia 68
 
Watanzania ni mbayuwayu
 
Don't panic mkuu,uko too emotional,kama utaweza kufikiria zaidi ya hapo kidogo utanielewa,hpa wale wanachama wa ccm 5M wote wameenda kwenye mahesabu ya Magufuli direct,wakati wale wachadema / ukawa wamegawana,nani kawa favoured hpa????

Kuhusu hao vijana,naomba ujaribu kufanya research mwenyewe,chukua sample size yoyote unayotaka ww then utaona percentage distribution.
 
Huo ndo ukweli.twaweza watakuja na za goli la mkono.
 
Big up mkuu numbers hazidanyi hwz kubshana na numbers kwa7bu znkupa validity ya uchambuz wko hpo ni analysis ongeza na mwamko wa wanaichi kwa sasa utapta jibu
 

CCM kwa takwimu walizo nazo wanachama wake ni milioni 7 hebu piga kwa hesabu hiyo.

Pia CHADEMA inakadiriwa inawanachama milion 3.7 hebu piga kwa hesabu hiyo ili ili tubalance analysis yako.

Pia tupingane kisayansi si maneno ya shobo.
 
Big up mkuu numbers hazidanyi hwz kubshana na numbers kwa7bu znkupa validity ya uchambuz wko hpo ni analysis ongeza na mwamko wa wanaichi kwa sasa utapta jibu
Exactly Numbers doesn't lie,wasiojua hesabu najua watapingana na mimi kwa nguvu zao zote bila facts.
 
Ulikuwa wapi siku zote mkuu? Haya uliyoandika ni Mungu kakuongoza si mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…