Mshangao jamiiforums

Mshangao jamiiforums

Afande Nyati

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
2,385
Reaction score
1,414
Wakuu nimeingia jf jioni hii nakutana na rangi nyeusi badala ya ile nyeupe niliyoizoea kwny mobile app.
Ni vision mpya au ni simu yangu tu?
 
Wakuu nimeingia jf jioni hii nakutana na rangi nyeusi badala ya ile nyeupe niliyoizoea kwny mobile app.
Ni vision mpya au ni simu yangu tu?
Wewe ndio umebadili..... Ingia setting pale juu kwenye Dark mode toa ile tiki kwenye kibox.
 
Wakuu nimeingia jf jioni hii nakutana na rangi nyeusi badala ya ile nyeupe niliyoizoea kwny mobile app.
Ni vision mpya au ni simu yangu tu?

Red Eyes My Dear Just Go And Seek A Medical Advice!
 
Mimi hua nabadili rangi kila baada ya mwezi basi naenyoj sana.
 
Back
Top Bottom