Mshana Witch project

Ha haaaa,
Kwa ulozi huu naamini hawata takasika hata kwa jani la hisopo.
Maana kama katika giza wamezibwa na katika nuru wamefitinishwa basi wamekuwa wanaharamu na sii najisi maana najisi yaweza kutakaswa ila haramu haitakasiki.
 
hakuna mtu mbaya asiye na mazuri yake wala mzuri asiye na mabaya yake. Wote tunayo aidha tunayafanya kizani au hadharani, kinachojalisha ni kuelewa state uliyopo na kufanya mabadiliko bhasi maana Mungu si kama mwanadamu katika hukumu zake
Mungu akibariki kwa ufunuo huu
 
Pokea uponyaji kama ni kweli unaumwa..pokea baraka..pokea mema yote ...Na Mungu aliye hai akubariki kuingia kwako na kutoka kwako ...AAMEN...!!!! Kama unazuga imekula kwako Mungu wetu sio Mungu wa dhihaka
Amen.. siwezi zuga nikiwa naumwa huwa nakuwa lipole na lisikivu..😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…