Aaahahahahhahaaaa looh yaani wewe mwanaume khaa...!!
Kumbe unapenda kuvaliwa upande wa khanga eeehh.... Basi hakuna Matata, jiandae tuu kuhesabu Singida Dodoma mkoa wa Tabora, Singida Dodoma mkoa wa Tabora....
Hivi ushajiuliza kwa nini ilikuwa inaimbwa hiyo mikoa mitatu?