Ni nani Saint Ivuga! Dena Amsi? Hawezi kuwa mshamba hivyo, labda GwangamboDuh.... Unamtukana dada yangu mmoja humu JF
Bwana mdogo SHIEKA, Sali sala yako ya mwisho nakutafutana tochi mchana na panga langu jipya!!!!!!!!!!:frusty:
Bado wazidi kuonesha ushamba wako. Yaani mpaka leo untumia panga kutia watu adabu! Hiyo ni analogue Gwangambo! wala siogopi na sitasali. Ninachoogopa ni digitali bwana - tindikali. Ungetaja hiyo ningesali kiyahudi ili sala ifike kwa Yesu haraka.Bwana mdogo SHIEKA, Sali sala yako ya mwisho nakutafutana tochi mchana na panga langu jipya!!!!!!!!!!:frusty:
Yule mpambaji mashuhuri? Hakuna atakayethubutu kumtania, The Finest atamla konzi!Kuna dada mmoja anaitwa afrodenzi
Yule mpambaji mashuhuri? Hakuna atakayethubutu kumtania, The Finest atamla konzi!Kuna dada mmoja anaitwa afrodenzi
Yule mpambaji mashuhuri? Hakuna atakayethubutu kumtania, The Finest atamla konzi!
Ndio kakopa tafadhali nipige tafu?
Haya sasa ngoja nikuoteshe nywele kwenye huo upara wako ki-digitali :mod:Bado wazidi kuonesha ushamba wako. Yaani mpaka leo untumia panga kutia watu adabu! Hiyo ni analogue Gwangambo! wala siogopi na sitasali. Ninachoogopa ni digitali bwana - tindikali. Ungetaja hiyo ningesali kiyahudi ili sala ifike kwa Yesu haraka.
Funika kwanza mdomo wako nzi wasiingie.Haya sasa ngoja nikuoteshe nywele kwenye huo upara wako ki-digitali :mod: