usimdanganye mwenzio wew,kama kaz ya serkal co nzr ipi nzur?kwenye mashrika? hakuna kaz nzur km za serkaln zen km ya weo.
Naomba msaada wenu jamani, hivi mwenye B.A.Journalism anaweza kupata kazi ya WEO?
usimdanganye mwenzio wew,kama kaz ya serkal co nzr ipi nzur?kwenye mashrika? hakuna kaz nzur km za serkaln zen km ya weo.
Kwanza kaa ukijua WEO ni afisa mtendaji wa kata kiingereza chake ni ward executive oficer na mshahara sina hakika sana lakini sidhani kama unazidi laki 3. Kama nimekosea kwenye mshahara am stand ti be corrected