Mshahara wa umwagaji damu

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,803
Reaction score
13,034
Hesabu 35:33. "Hivi hamtaitia najisi nchi ambayo mnakaa;kwakuwa damu huitia nchi unajisi;wala hapana sadaka itoshayo kwa ajili ya nchi;kwa ajili ya damu iliyomwagika ndani yake isipokuwa ni damu ya huyo aliyemwaga". Mungu amesikia vilio vya damu zisizo na hatia zilizomwagwa tarehe 29 na kuendelea na wauaji hamuwezi kushinda kwa namna yoyote na mtalipia dhambi zenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…