Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,563
MD wanaosoma vyuo vya serikali huwa wanapewa ruzuku ya Ada, kwa hiyo makato ya HESLB hayatakuwa makubwa kivile.Hapo HELSB wamechkua chao? Au bila HESLB
MD wanaosoma vyuo vya serikali huwa wanapewa ruzuku ya Ada, kwa hiyo makato ya HESLB hayatakuwa makubwa kivile.Hapo HELSB wamechkua chao? Au bila HESLB
-Wahuni tu hao! nimechukia kuambiwa sijui ninacho present ! wamenidhalilisha sana aisee.Hapo washapata mtu wao.
MD wanaosoma vyuo vya serikali huwa wanapewa ruzuku ya Ada, kwa hiyo makato ya HESLB hayatakuwa makubwa kivile.
Duh pole mkuu
- nimefanya presentation wananiambia sieleweki ninacho- present,
- Nimeulizwa maswali magumu ajabu.
Hizi stori ulizipata wapi?MD wanaosoma vyuo vya serikali huwa wanapewa ruzuku ya Ada, kwa hiyo makato ya HESLB hayatakuwa makubwa kivile.
Makato yote ni 30% nje ya mkopo WA nje.Hivi baada ya makato ( pamoja na makato ya bodi ya mikopo HESLB) hiyo 1.6m na 1.9m zinabakia shilingi ngapi ?