Mshahara wa Tutorial Assistant

Mshahara wa Tutorial Assistant

Bado huo mshahara sio mbaya sana ukiangalia na mazingira ya kazi ya u tutorial yalivo... Kuna vihela vingi vya research halafu mi naona ni kazi ambayo mtu una uhuru sio kama hizi kazi za kusimamiwa na mabosi...

Yah wana hela za field, kuna training etc

Pia kuna nafasi za kusomeshwa na chuo, akipiga masters anapanda mpaka 2.6m+ hivi
 
S

Simply unachukua hiyo unatoa;
15% kama alikopa HESLB
3% NHIF
5% PENSHION
%% INCOME TAX angalia kwa TRA calculator
2% vyama vya wafanyakazi

Kinachobaki ndo halali yako.
Duhh sio poa asee kwa hesabu za haraka haraka ni kama 880k inakatika kwa huyo wa 1.6m na anabaki na 720k tu, yaani kutoka 1.6m to 720k sio poa asee. Maybe kutakuwa na benefits nyingine maana kama ni hivyo tu bhas Hali ni tete.



Na zile ajira za TRA wale custom officers sijui watakuwa wanapokea kiasi Gan.
 
Duhh sio poa asee kwa hesabu za haraka haraka ni kama 880k inakatika kwa huyo wa 1.6m na anabaki na 720k tu, yaani kutoka 1.6m to 720k sio poa asee. Maybe kutakuwa na benefits nyingine maana kama ni hivyo tu bhas Hali ni tete.



Na zile ajira za TRA wale custom officers sijui watakuwa wanapokea kiasi Gan.
Kwa mfano wa 1.6M makato yake ni haya yafuatayo

Income Tax: 284,000
HESLB : 240,000
PSSF : 80,000
NHif : 48,000
W/union: 32,000

Jumla ya makato: 684,000

Take home: 916,000


Kazi iendelee.
 
Kwa mfano wa 1.6M makato yake ni haya yafuatayo

Income Tax: 284,000
HESLB : 240,000
PSSF : 80,000
NHif : 48,000
W/union: 32,000

Jumla ya makato: 684,000

Take home: 916,000


Kazi iendelee.
Mimi income tax nmeweka 30% coz nmeona google inasema hivyo boss, hiyo 284,000 ya income tax amount si ni 17.75% ya 1.6m ?
 
Mimi income tax nmeweka 30% coz nmeona google inasema hivyo boss, hiyo 284,000 ya income tax amount si ni 17.75% ya 1.6m ?
Income tax ina kanuni yake...

Unatoa kwanza 5% ya mfuko wa hifadhi ya jamii then inayobaki ndo inakokotolewa.

Toa 5% ta 1.6M kisha kinachobaki kaingize kwenye PAYE Calculator ya TRA utapata jibu
 
Kwa mfano wa 1.6M makato yake ni haya yafuatayo

Income Tax: 284,000
HESLB : 240,000
PSSF : 80,000
NHif : 48,000
W/union: 32,000

Jumla ya makato: 684,000

Take home: 916,000


Kazi iendelee.
Hii income tax serikali inatoa hela mfuko wa kushoto inaweka mfuko wa kulia. Sijui huwa inasemaje mapato yameongezeka ilihali inarudisha hicho ilichotoa
 
1.9
Nadhani wa 1.9 anafika kwenye 9+ to M, maana hapo jamaa kapigia mahesabu wa 1.6 ndo akafika kwenye 800k - 900k, na naskia mwaka huu kulikuwa na nyongeza ya mishahara ya 23% kama sikosei, sio mtaalamu wa kucalculate but nadhani kama ikiwa applied kwa huyo wa 1.6 na huyo wa 1.9 maybe wanaweza fika M to M+(I'm just assuming/thinking)
1.9 inaenda had 1.3 for those wth medical degrees baada ya makato
 
Back
Top Bottom