RUDVANNESTROOY
Member
- Dec 12, 2012
- 69
- 14
Kwa anaye fahamu hili naomba anielewesha tafadhali.
Hivi kwa mtu mwenye level ya elimu ya post graduate diploma au masters mishara yao ni sawa au tofauti?
Kwa anaye fahamu kwa kina zaidi naomba anieleweshe zaidi hasa kwenye taasisi za serikali na makampuni binafsi.
Hivi kwa mtu mwenye level ya elimu ya post graduate diploma au masters mishara yao ni sawa au tofauti?
Kwa anaye fahamu kwa kina zaidi naomba anieleweshe zaidi hasa kwenye taasisi za serikali na makampuni binafsi.