Kwani jumla ilitakiwa upate shilingi ngapi?Haya watumishi wenzangu wa umma.
Nimeona Mshahara wangu wa December 2018 pesa iliyowekwa according to NMB SMS ni pungufu ya TSH 30,000/=. Kuna mtumishi mwenzetu pia amatumiwa SMS yanye pungufu ya TSH 30,000/=.
Kuna mtu mwenye ufafanuzi hapo?
Laki mbili na 80 lakini imekuja laki mbili na 50Kwani jumla ilitakiwa upate shilingi ngapi?
Kausha basiLaki mbili na 80 lakini imekuja laki mbili na 50
Laki mbili na 80 lakini imekuja laki mbili na 50
Duuh laki mbili ni mshahara wa mwezi au? Na bado umekomaa tu kuajiriwa serikalini, mi hata kwa laki 5 kwa mwezi huniajiri ntaweka nya ya na vitunguu gengeni ntauza, laki mbili sio inaishia kwenye mafuta ya gari jamani, kweli hii ni serikali ya wanyonge, na bado u aipigia kura ccm na na watumishi huwa mnasimamia kura za ccm kweli kwa huvu zenu zoteLaki mbili na 80 lakini imekuja laki mbili na 50
Kwani mishahara imetoka?Haya watumishi wenzangu wa umma.
Nimeona Mshahara wangu wa December 2018 pesa iliyowekwa according to NMB SMS ni pungufu ya TSH 30,000/=. Kuna mtumishi mwenzetu pia amatumiwa SMS yanye pungufu ya TSH 30,000/=.
Kuna mtu mwenye ufafanuzi hapo?
.....Wewe!!!????, Unafanya kazi gani?Laki mbili na 80 lakini imekuja laki mbili na 50
Jamani daaah unajua nimehisi uchungu sana unalipwa laki mbili na 80 tu kwa mwezi na bado umekatwa 30???doooh bora niendelee na maisha yangu binafsi tu km kuajiriwa kwenyewe ndo hukuLaki mbili na 80 lakini imekuja laki mbili na 50
Nimeshangaa mnooUnaishije sasa Ndugu yangu Kwa kiasi hicho?
Hata ukiamua kuanzia mahitaji ya Nyumbani, Shule Na ya kazin iwe TSh elf 10 Kwa Siku Bado tarehe Za Mshahara hazikutani?
Pole Sana Mzalendo Mwenzangu
Wote tukiwa na magenge kazi za kuajiriwa atafanya nani?Duuh laki mbili ni mshahara wa mwezi au? Na bado umekomaa tu kuajiriwa serikalini, mi hata kwa laki 5 kwa mwezi huniajiri ntaweka nya ya na vitunguu gengeni ntauza, laki mbili sio inaishia kwenye mafuta ya gari jamani, kweli hii ni serikali ya wanyonge, na bado u aipigia kura ccm na na watumishi huwa mnasimamia kura za ccm kweli kwa huvu zenu zote
Anyway pole mkuu sina maana ya kukukwaza ila nimejikuta nashangaa
Hupo sector gani mkuuHaya watumishi wenzangu wa umma.
Nimeona Mshahara wangu wa December 2018 pesa iliyowekwa according to NMB SMS ni pungufu ya TSH 30,000/=. Kuna mtumishi mwenzetu pia amatumiwa SMS yanye pungufu ya TSH 30,000/=.
Kuna mtu mwenye ufafanuzi hapo?
Mimi ni Mwalimu wa shule ya msingi mkuu.....Wewe!!!????, Unafanya kazi gani?
eleza vzr.... walimu hatulipwi kidogo ivyooo..... sema ulikopa hivyo unachopokea baada ya makatoooMwalimuMimi ni Mwalimu wa shule ya msingi mkuu