Mshahara wa mwezi Juni kuchelewa

Mshahara wa mwezi Juni kuchelewa

Status
Not open for further replies.

Shana Boy

Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
32
Reaction score
5
Taarifa za kuaminika kutoka hazina zina eleza kuwa kwa wafanyakazi wa serikali kama haujapata mshahara mpaka leo tar 26/6 basi uwezekano wa kucheleweshewa mshahara hadi tar 5/7 ni mkubwa sana,kwahiyo mnaombwa kuwa wavumilivu
 
taarifa za kuaminika kutoka hazina zina eleza kuwa kwa wafanyakazi wa serikali kama haujapata mshahara mpaka leo tar 26/6 basi uwezekano wa kucheleweshewa mshahara hadi tar 5/7 ni mkubwa sana,kwahiyo mnaombwa kuwa wavumilivu

vipi watalipa mshahara mpya au ndiyo mpaka obama aondoke maana watakuwa busy na mapokezi.
 
Kama ni kweli, bila shaka mishahara inatumika kwenye maandalizi ya kumpokea Obama....
 
Nadhani hela yote imepelekwa kumpokea Obama, yani nchi za Afrika na hasa Tanzania sijui kwanini malimbukeni namna hii. Hivi huyu Obama ndio nani? Yani mimi uwa nakereka sana, mijitu ni midhaifu sana, yani Obama anakuwa kama Mungu bana. Tunataka mishahara yetu please!!
 
Taarifa za kuaminika kutoka hazina zina eleza kuwa kwa wafanyakazi wa serikali kama haujapata mshahara mpaka leo tar 26/6 basi uwezekano wa kucheleweshewa mshahara hadi tar 5/7 ni mkubwa sana,kwahiyo mnaombwa kuwa wavumilivu

Sababu za kuchelewesha hiyo haki ya msingi ya watumishi wa umma imetajwa kuwa ni ipi?
 
Wewe siyo msemaji wa serikali..pili ujio wa obama hauhusiani na mishahara ya watumishi wa umma
 
ni kweli mpaka sasa balance zina 2,011.09
duu sijui nitafika vp hiyo tarehe 5; nimesha kopa sana na wengingine nimewaahidi leo nitawapelekea hela zao na sijui nani atanielewa nikisema mshahara bado kwa sababu mara zote nimekuwa nikopa nakuwalipa tarehe 26.
Nafikiria jinsi ya kuandika dokezo la uongo aka kufisadisha ofisini kama bosi ataelewa (samahani watanzania wenzangu sina jinsi)
 
Taarifa za kuaminika kutoka hazina zina eleza kuwa kwa wafanyakazi wa serikali kama haujapata mshahara mpaka leo tar 26/6 basi uwezekano wa kucheleweshewa mshahara hadi tar 5/7 ni mkubwa sana,kwahiyo mnaombwa kuwa wavumilivu

Wakichelewesha watu watadai interest
 
Hii serikali yetu ya ZIMAMOTO sijui itatufikisha wapi hapo 2015.
 
Serikali imetumia kiwango kikubwa cha pesa kugharamikia ujio wa Obama,posho za wabunge kwenye bunge la bajeti na safari za rais alizo zifanya hivi karibuni,
 
Taarifa za kuaminika kutoka hazina zina eleza kuwa kwa wafanyakazi wa serikali kama haujapata mshahara mpaka leo tar 26/6 basi uwezekano wa kucheleweshewa mshahara hadi tar 5/7 ni mkubwa sana,kwahiyo mnaombwa kuwa wavumilivu
chanzo cha habari yako ya kuzusha ni nkipi???????????????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom