Duh j3 tenaJamani ka sms bado huko?Hali tete hapa...... Wale wafanyabiashara wenye pesa hapa sio kwenu![]()
Ndo kwanza katikati ya mwezi!
Bado itakuwa anakunywa supu ya jioni kiongozi wetu wa kule.Nasubir amalize anifanyie maajabu.Mkuu ushapata ya king msukuma bus,, kule kwa bus simulator
😂
😂😂🤣🤣Halafu crdb makali yao sana.
Tangu jana wananikumbusha kulipa deni lao la Salary Advance.
Si wanakata juu kwa juu, why wanitilie kelele?