Taasisi za umma zina scale zake lakini private sector hakuna standard kuna watu wanalipwa laki 4 na MBA zao!
wewe angalia uzoefu wako then jiuze maana kuna watu nawajua ni ATEC holder lakini wana experience za hatari na wanalamba pesa ndefu tu!
Ushauri wa bure tafuta kazi ambayo haitakubana japo upate nauli na pesa ya kula then endelea kupiga shule ili uwe na uzoefu mzuri plus umesogea kidogo kielimu.
Dah ananikumbusha 1999 nilipokamata ATEC yangu, mkuu tafuta kibarua mi nilikamata ajira na hiyo miaka hiyo nilikuwa nakula 270,000/=, pendelea sana katika mabenki. Saa hz mi niko mbali na kadegree nilishamaliza maisha yanasonga
inategemea na taasisi, kila taasisi ina scale zake za mishahara mfano km ukipata BOT utaanza na 1.2m ila ukipata halmashauri utaanza na 230000 au kama ukipata benki utaanza na 600000 na kuendelea
mkuu denti,bila shaka utakuwa ushapata kijiwe,sasa naomba msaada kwako hata kwa mwingine anayefahamu.ninaomba kufahamu ada za atec i&ii zikoje?jinsi ya kupata usajir na muundo wa usomaji ukoje?nina mdogo wangu anahitaji kufanya hiyo mitihani na ana sifa na vigezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.