Mshahara mnono
Haya mambo ya kuona mishahara ya unyamwezinionline nakumbuka ndiyo yaliyonitoa Minazi Mirefu na kunipeleka Gotham.
All the best mkuu. Make it count.Mkuu, next year nitakuwa Manchester
Confirmed!!!
Google walisema hawatatumia College degree kama kigezo cha ku-hire wafanyakazi
Hata Unity nao wanafanya hivyo hivyo pia, makampuni yanataka mtu wa kumove biashara zao, so kuna watu ni oriented na experience zakutosha na hawana college degree,
College brings title, experience brings profession.
Naona wavivu wa kusoma mnajipa moyo na kujifariji.Google walisema hawatatumia College degree kama kigezo cha ku-hire wafanyakazi
Naona wavivu wa kusoma mnajipa moyo na kujifariji.
Waliposema hawaangalii digrii haikumaanosha hawazitaki.