Specify serikalini au private mishahara ni tofauti lakini kwa serikalini fresha wanaanza na TGS E ,kwenye laki tisa naa(halmashauri) ,but kwa mshirika ya umma ya serikalini ni zaidi ya apo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.