Mshahara wa Assistant Lecturer..

Mkoba nimefurahi kwa ulivyoelzea kitaalamu .
 
Hakuna cheo cha full tutorial ila kuna tutorial assistant nae analipwa 1,080,100/= basic wakikata kodi zao na mifuko ya jamii unabakiwa na kama laki saba na thelathini na kitu hivi
 
Hakuna ngazi ya full tutorial bali kuna ngazi ya tutorial assistant nae analipwa 1,080,100/= kabla ya makato ya kodi na mengine. Akikatwa anabeba take home kama laki saba na thelathini na kitu hivi.Wana jamii viwango hivyo ni kwa vyuo vya serikali vyuo binafsi vinatofautiana wengine wapo juu ya hapo wengine wapo chini ya hapo kwa hiyo it depends umeenda wapi.
 


Dah! kazi ipo, ndio mana walimu wengi wa chuo hawafurahii kabisa kazi ya yao. kama ndio hivyo na Full Prof. anapata ngapi!.
 
Figure halis ya TA please, mana nimepata chuo flan na wakati huo nina admission ya M.A. nafikiria kufanya kaz kwanza! ushauri please!
Fanya kazi kwanza.... utaomeshwa na ukirudi utakuwa na kazi yako na seniority haitakuwa affected.
 
Inawezekana vijana wengi mtaani watakuwa wanafanana mishahara na Full Prof. wa chuo. Hii inachangia sana walimu wengi wa vyuo kukimbilia kwenye siasa. Nafikiri kwahili vilevile hata siasa kwa baadhi ya walimu vyuoni inachangia.

Itakuwa inaumiza sana kwa walimu wa vyuo kuona mbunge kupata mara 3 au 4 zaidi yao, yet wabunge wengi hamna kitu wanafanya.
 
Baada ya makato ni kama 850000/= hivi. Hata hivyo hicho ni kiwango cha Mwaka 2010/11 kiwango kipya kimeshatolewa na hazina. Private kuna motivation zaidi kama Teaching allowance n. ila na mzigo unapiga kwelikweli
 
Baada ya makato ni kama 850000/= hivi. Hata hivyo hicho ni kiwango cha Mwaka 2010/11 kiwango kipya kimeshatolewa na hazina. Private kuna motivation zaidi kama Teaching allowance n. ila na mzigo unapiga kwelikweli
dah!kwel walimu wana maisha magumu!
 
dah!kwel walimu wana maisha magumu!

Katika mada hii wachangiaji wengi wameoneshwa aidha kusikitika kwa kiwango kidogo cha mshahara au kukejeli, lakini ebu tuangalie sekta nyingine ambazo ziko chini ya serikali, je mshahara wa doctor wa hospitali ni shilingi ngapi mwenye elimu ya master? je mshahara wa lawyer mwenye same qualification ni shilingi ngapi? na je mshahara wa mhuasibu mwenye sama qualification ni shilingi ngapi? hawa wote nazungumzia wanaofanya kazi serikalini, japokuwa sina hakika mwenye details za mishahara ya hizi kada anaweza kutusaidia lakini nayo pia ni midogo aidha inalingana na ya assistant lecturer au ni midogo kuliko.Serikali yetu bado inawalipa wafanyakazi wake mishahara midogo kulingana na hali halisi ya maisha.Hivyo basi nashauri kama mtu ukipata mtaji na opportunity ni bora ujiajili hili kukabiliana na tatizo hili la kipato kidogo.Julai kwenye bunge kuna taarifa kuwa mishahara iliongezwa je kwa sasa mshahara wa assistant lecturer ni shilingi ngapi baada ya hayo mabadiliko?
 
Reactions: SG8
Jamani kada zingine kama wahasibu au maboharia hawana mishahara mikubwa lakini wana marupurupu mengi ambayo akiyakusanya kwa week 2 tu ana mshahara wa Assistant lecturer lakini walimu hawana hii kitu ni goli mpaka goli na we nenda vyuoni ukaone boharia labda ana degree moja maisha yake yapo juu kuliko hata lecturer mwenye Phd kwa hiyo it descourage kwa kweli.Ukitaka uhalisia walimu wa vyuo wengi ni watoto wa wakulima we unafikiri watoto wa mafisadi hawapo ambao wamefaulu kwa ajili ya kufundisha vyuo wazee wao wameona ni kada ya umasikini hii.Mishahara iliyoongeza hazina walitoa waraka wakaurudisha wakaongeza kada zingine si kwa walimu sasa sijui maana yake nini.Nchi hii mambo si mazuri kwa kweli hasa unapotumia jina la mwalimu haijalishi unafundisha wapi na una elimu gani.Kama upo humu akili kumkichwa otherwise you will sail in poverty circle.Chuoni kuna masenior lecturer lakini maisha du wanatia hata huruma wazee inabidi tuikomboe hii nchi la sivyo sijui.
 

Sawa mkuu nimekuelewa, sasa unaushauri gani kwa hawa malecturer, je waache hizo kazi watafute nyingine au una ushauri gani
?
 
Mshahara wa Assistant lecturer unategemeana na uzoefu wako. Mimi ni assistant lecturer -public University napata sh. 2,326, 000/= and many other fringe benefits. lakini issue ya fringe benefits inatofautiana, kulingana na policy za chuo. Jiandae kufanya research itakusaidia sana kwani autagusa mshahara wako. Mimi nina miezi kama saba hivi sijagusa mshahara wangu. Ila ukiwa mvivu ndio utaichukia kazi
 

Nina wasiwasi na hayo maelezo yako mlibwende!. labda na utuambie wewe upo field ipi.
 

umefanya nin cha maana sasa pamoja na kutogusa huo mshahara wako?
 
nenda kasome kwanza umri na muda huwa havisubiri mtu especially kama umepata scholarship, shule kwanza pesa baadaye!


WE MAMA BRIAN, Wacha kumdanganya mwenzio, ETI AKASOME KWANZA, Dogo nenda kachukue kazi kazi kwanza, utasoma ukiwa na kazi, mwisho wa siku ukijidai kwenda kusoma ukimaliza kupata kazi itakuwa mbinde, siku hizi kazi ni shida, UTASUGUA SOLI MPAKA BASI< kazi kwanza, kusoma badaye.

Asikudanganye mtu, nenda kapige kazi utasoma baadaye.
 
Kumbe nao wana maisha magumu?ndo maana bac wanakuaga busy na kazi za consultancy,othrwise hawana tofauti na maafande.
teh tehe!!!sasa huo utani wa ngumi na maafande
 
Hakuna cheo cha full tutorial ila kuna tutorial assistant nae analipwa 1,080,100/= basic wakikata kodi zao na mifuko ya jamii unabakiwa na kama laki saba na thelathini na kitu hivi

aisee! Mbona inakatisha tamaa hivyo..?Kazi ipo si kidogo!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…